Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
Sawa mtoto wa mamaKafie mbele ya safari huko, mkoroga uji wa watoto kwa wahindi kariakoo..
![]()
![]()
![]()
![]()
Baadaye basi
...........
Sawa mtoto wa mamaKafie mbele ya safari huko, mkoroga uji wa watoto kwa wahindi kariakoo..
![]()
![]()
![]()
![]()
Basi ntampata tu.Hapana kwa kweli, huku sijamuona ila nahisi alipita tuu, maana nilihis kama harufu ya perfume yake, ila sikutilia sana maanani.
Baadaye bhanaTulia we kibogoyo usiyejua kuongea..
![]()
![]()
Poa mtoto wa baba!!!Sawa mtoto wa mama
Baadaye basi
...........

![]()
![]()
![]()
Hebu shuka details vizur!!
Kafie mbele ya safari huko, mkoroga uji wa watoto kwa wahindi kariakoo..
![]()
![]()
![]()
![]()
hatari tupuDah.. Ni pini!!!Ktk historia yake huyu alizaliwa huko south africa kabila lake khoikhoi alichukuliwa kama mtumwa na kupelekwa england kwa madhumuni ya watu kupiga hela kwa kumuweka kwenye jumba la maonesho mbalimbali hii ni kutokana na kuwa na makalio makubwa inaaminika had leo hapajatokea wa kumfunika.
Pia wazungu walikuwa wakilipa hela kwa ajili ya kufanya nae ngono kidogo historia yake ni ndefu sana had kufikia france
Died 29 December 1815 (aged 25–26)
Paris , France

Haya..Basi ntampata tu.
Nashukuru umenipa kamuangaza kidogoKtk historia yake huyu alizaliwa huko south africa kabila lake khoikhoi alichukuliwa kama mtumwa na kupelekwa england kwa madhumuni ya watu kupiga hela kwa kumuweka kwenye jumba la maonesho mbalimbali hii ni kutokana na kuwa na makalio makubwa inaaminika had leo hapajatokea wa kumfunika.
Pia wazungu walikuwa wakilipa hela kwa ajili ya kufanya nae ngono kidogo historia yake ni ndefu sana had kufikia france
Died 29 December 1815 (aged 25–26)
Paris , France
Dah.. Ni pini!!!
Bora ningezaliwa kipindi hiko, halaf mission yangu ni kumkomboa huyo mwali tu![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Yaani hyo picha nikajua ni cwr p wangu.. Japo sura tu ndio kazidiwa kidogo na Cwt p wangu..![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
usingeweza wazungu waliisimamia hii show ilikuwa inalindwa balaa had ngoz nyeupe walichizika ujue ulikuwa mzigo wa maana ila alikufa mapema sana kutokana na magonjwa ya ngono alidhalilishwa sana ila mwili wake wa south waliufuataKila la heri mkuu

Thanks le dictatorLeo katika Historia:
Sina la ziada kwa Udhamini mnoni wa Sarah Baartman niwatakie siku njema!
Le dectateurThanks le dictator
Ubize ni mzuri sana ila ukipata nafasi unajichanganya kama kawa.

Daah bonge moja la piniHate me now!!
Le dectateur
