Makapuku Forum

Makapuku Forum

1965 - Dmitry Medvedev anazaliwa.

Ni waziri Mkuu wa sasa wa Nchini Urusi na ambaye Alishawahi kuwa Rais wa 3 wa Nchi hiyo.

Yeye na Vladmir Putin ni watu wawili ambao huwa wanabadilishana uongozi.

Mmoja akiwa Rais mwingine ni Waziri Mkuu, hivyo hivyo daima hubadilishana.
 
1961 - Freeman Mbowe anazaliwa.

Ni mwanasiasa na Kiongozi mkuu wa chama cha Upinzani nchini Tanzania ambachi ni Chadema.
IMG_20160914_110921.jpeg
IMG_20160914_110934.jpeg

HBD
........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom