makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,960
- 104,373
Marhaba, hujambo!!?Hodi humu wakuu.....shikamoon
Marhaba, hujambo!!?Hodi humu wakuu.....shikamoon
Siku mpya mambo mapyaWhy???
Heheh
Sijambo mkuu......vipi na wewe hujambo???Marhaba, hujambo!!?
Ubize raha sana hasa ukiwa wa![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
ni katika kuzisaka na family matters PapaaWeweNani huyo
HBD Mbowe1961 - Freeman Mbowe anazaliwa.
Ni mwanasiasa na Kiongozi mkuu wa chama cha Upinzani nchini Tanzania ambachi ni Chadema.
Kaka upo poa
Asante kwa magazeti mkuu
1961 - Freeman Mbowe anazaliwa.
Ni mwanasiasa na Kiongozi mkuu wa chama cha Upinzani nchini Tanzania ambachi ni Chadema.
Kila la heri mkuu![]()
ni katika kuzisaka na family matters Papaa
1965 - Dmitry Medvedev anazaliwa.
Ni waziri Mkuu wa sasa wa Nchini Urusi na ambaye Alishawahi kuwa Rais wa 3 wa Nchi hiyo.
Yeye na Vladmir Putin ni watu wawili ambao huwa wanabadilishana uongozi.
Mmoja akiwa Rais mwingine ni Waziri Mkuu, hivyo hivyo daima hubadilishana.
MorningMorning all
aka BitozYohana Elephant![]()
Taratibu na mpira wetu