Makapuku Forum

Makapuku Forum

1985 - Kampuni ya michezo ya televisheni ya Super Mario Bros ya Nchini Japan yazindua rasmi michezo ya Super Mario.
IMG_20160913_200443.jpeg
IMG_20160913_200454.jpeg

.......
 
Leo katika Historia:

September 13 ni moja kati ya Siku mbaya katika mwaka.

Hasa tarehe 13 idondokee Ijumaa wazungu wanaamini hiyo ni siku mbaya sana katika maisha.

Na wameenda mbali zaidi wakiamini namba 13 ni namba ya mikosi baadhi ya Nchi kama Urusi katika kalenda yao hawana tarehe 13.

Hata kwenye mpira jezi namba 13 huvaliwa zaidi na magolikipa kuliko wachezaji wa ndani.

Ballack alipenda kuvaa namba 13 kila mfatiliaji wa soka anajua kilichomkuta katija career yake.
Wazungu wanazingua hapo.. Mbona watu wengi tu waliozaliwa hiyo tarehe wako vizuri sana?
 
1973 - Fabio Cannavaro anazaliwa.

Ni beki wa zamani wa Ibter Milan, Real Madrid na Juventus.

Alishinda ubingwa wa Kombe la Dunia mwaka 2006 akiwa kama nahodha wa kikosi cha Italy.

Anachukuliwa kama mmoja wa mabeki mahiri wa kati ambao walikuwa ni wafupi katika historia ya soka.

Pia ni beki pekee ambaye mwaka 2006 alishinda Tuzo ya Mchezaji bora wa Dunia.
 
Leo katika Historia:

September 13 ni moja kati ya Siku mbaya katika mwaka.

Hasa tarehe 13 idondokee Ijumaa wazungu wanaamini hiyo ni siku mbaya sana katika maisha.

Na wameenda mbali zaidi wakiamini namba 13 ni namba ya mikosi baadhi ya Nchi kama Urusi katika kalenda yao hawana tarehe 13.

Hata kwenye mpira jezi namba 13 huvaliwa zaidi na magolikipa kuliko wachezaji wa ndani.

Ballack alipenda kuvaa namba 13 kila mfatiliaji wa soka anajua kilichomkuta katija career yake.
No 13 ni shida sana, pia huwa wanalinganisha 13 ngapi zinaangukia jumatatu zikizidi kwa wastani kwa mwaka, huo mwaka huwa ni wa hatari sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom