Makapuku Forum

Makapuku Forum

1989 - Thomas Muller anazaliwa.

Kiungo Mshambuliaji wa timu ya Bayern Munich na timu ya taifa ya Ujerumani.

Ni mmoja kati ya wachezaji wanaojua kukaa kwenye nafasi na kumalizia mipira kwenye nyavu.

Sifa kuu ya Muller unaweza usimuone anachofanya uwanjani kwani si mtu wa mambo mengi, ika utamuona pale anapofunga goli au kutoa pasi ya goli.

Ni aina ya wachezaji ambao ni complete kwani ana uwezo wa kukaba na kushambulia, mimi huwa namfananisha na JS Park.
 
1939 - Guntis Ulmanis anazaliwa.

Alikuwa ni Rais wa 5 wa Latvia.
IMG_20160913_201219.jpeg
Screenshot_2016-09-13-20-11-57.png

Prezo
......
 
1973 - Fabio Cannavaro anazaliwa.

Ni beki wa zamani wa Ibter Milan, Real Madrid na Juventus.

Alishinda ubingwa wa Kombe la Dunia mwaka 2006 akiwa kama nahodha wa kikosi cha Italy.

Anachukuliwa kama mmoja wa mabeki mahiri wa kati ambao walikuwa ni wafupi katika historia ya soka.

Pia ni beki pekee ambaye mwaka 2006 alishinda Tuzo ya Mchezaji bora wa Dunia.
Kitambo sana Canavaro
 
1973 - Fabio Cannavaro anazaliwa.

Ni beki wa zamani wa Ibter Milan, Real Madrid na Juventus.

Alishinda ubingwa wa Kombe la Dunia mwaka 2006 akiwa kama nahodha wa kikosi cha Italy.

Anachukuliwa kama mmoja wa mabeki mahiri wa kati ambao walikuwa ni wafupi katika historia ya soka.

Pia ni beki pekee ambaye mwaka 2006 alishinda Tuzo ya Mchezaji bora wa Dunia.
IMG_20160913_202025.jpeg
Screenshot_2016-09-13-20-20-08.png

Yanga yupo feki
.......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom