Tetramelyz
JF-Expert Member
- Apr 25, 2014
- 4,369
- 12,469
Tutolee uchuro hapaNmeshakula...
Now nmepumzika tuuuView attachment 399353
Ndiyo!!Eeh ugunduzi nayo![]()
Eeh we nae
Manzi wa jonaxNani mnamtafuta??![]()
Nambie lakin shwari? jana ulikula eid yko wapi

Tatizo ctaki kuukosa ufalme wa milelePabaya wapi wewe, wakati hapo ni paradize![]()
![]()
Aaaaamna ni viroba tuNikamwambia lazma ana undugu na hoo Sokwee![]()
Mbona najuta mie! Nani alipata sasa?Ile siku ilikuwa full vituko watu tuliikimbiza 100k sa sipati picha naona wengine wameongezeka wengine mmerudi sijui ingekuaje siku hiyo..![]()
Za wakorea![]()
...za maudhui gani labda????
Jimena Jimenes....alichukua ushindiMbona najuta mie! Nani alipata sasa?
Heee, hiyo roho ishindweDuuh nimemuelewa sana huyu dada....
Aki nasikia manzi wa KE wamekomaa maumbo hadi sura eti ni ukweli??Eeh ugunduzi nayo![]()





Mmmmh....Tatizo unabahatishaaaCC: Sacajo umeona nilivyo mgunduzi eeh?!![]()
Hapana, naitumia kumkimbia jonax.... Coz aliktaka kunitumia radi....lbd uje nikupe liftNaazima baskeli yako nipashe pashe...![]()
Eeh hao ni Waluhya sasa aiih.. Unapatia manzi amenyoooka hana hata Budaa na hukula hyo Sembe hata kilo 3 na bado hujihisi wao ni Binadamu wa kawaida..Aki nasikia manzi wa KE wamekomaa maumbo hadi sura eti ni ukweli??![]()