Tetramelyz
JF-Expert Member
- Apr 25, 2014
- 4,369
- 12,469
Ni salama kamanda???Woyoooo
Ni salama kamanda???Woyoooo
Wazee wa mawese, ukifika tabora usiniite karumanzira, uniite brulaza KWaha hatutaniwi sasa
Nakumiss pia, wikend ndo hii twenzetu tukayajenge basi mpenziNiko poa, kukumiss tu

Unaianzaje wikendi hapo kiongozi???Haha hata mi nalijua hilo... jinsia KE wengi wenu mna allergy feki na ugali![]()
Yeah..To the infinity....![]()
Kitu cha kwanza ni kukuhonga wwNa ukiipata tu utayasahau hayo yote....hiyo ni mehemko tu kwa sasa Bitoz.
Asante kwa kuwa mkweli "kamanda". Naomba tu maneno haya yabakie kumbukoni na kamwe nisikusikie tena ukilalamikia rushwa, uzembe serikalini, undumilakuwili wa wasomi na wanasiasa au weledi wa wapinzani. Na kama falsafa yetu jumuishi kama jamii ndiyo hii hata aje Yesu Atutawale tutabakia kulalamika tu tukizunguka katika jangwa la umasikini, ujinga, elimu butu na kuendeeleza maendeleo ya kutoendelea milele na milele. Mungu na Atusaidie kwa kweli. Ova !!!Mimi nikipata ajira serikalini ni full rushwa,full uzembe"
Pesa ndo inaongea kitaani
Maisha yenyewe elimu tumeipata kwa kunyweshwa uji wa mahindi
![]()
![]()
![]()
........
Nieje tozzi mshamba??Kitu cha kwanza ni kukuhonga ww
![]()
![]()
![]()
![]()
.......
RealAsante kwa kuwa mkweli "kamanda". Naomba tu maneno haya yabakie kumbukoni na kamwe nisikusikie tena ukilalamikia rushwa, uzembe serikalini, undumilakuwili wa wasomi na wanasiasa au weledi wa wapinzani. Na kama falsafa yetu jumuishi kama jamii ndiyo hii hata aje Yesu Atutawale tutabakia kulalamika tu tukizunguka katika jangwa la umasikini, ujinga, elimu butu na kuendeeleza maendeleo ya kutoendelea milele na milele. Mungu na Atusaidie kwa kweli. Ova !!!
Itakuwa msukuma kapatwa na mnyaki (kupatwa)Kitu cha kwanza ni kukuhonga ww
![]()
![]()
![]()
![]()
.......
Poa tuNieje tozzi mshamba??
Sawa kabisa, twende ufukweni mwa bahariNakumiss pia, wikend ndo hii twenzetu tukayajenge basi mpenzi![]()
Bonge la combinationItakuwa msukuma kapatwa na mnyaki (kupatwa)



. Tunammiss sana huyu jamaa siku hizi kina May weather wanakwepakwepa tu na kukimbia hovyo ulingoni afu unaskia eti kashinda