Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
Mshawishi akubali tujiite matajiri ...huku tukimaanisha wa likesBitoz ajaribu kubadili jina aweke hata la "Young Millionaires" tuone watakavyomiminika![]()
More kama hivyo....Mshawishi akubali tujiite matajiri ...huku tukimaanisha wa likes
BitozBitoz ajaribu kubadili jina aweke hata la "Young Millionaires" tuone watakavyomiminika![]()

Kwani ww mTZ
![]()
![]()
![]()
.........

Mwenye hati miliki wa mabibo beach na kambale woteMore kama hivyo....
Ujumbe kaupata
CC: Msela wa mabibo beach
InawezekanaUna utani na mimi??
Mshawishi akubali tujiite matajiri ...huku tukimaanisha wa likes
Umionaeeh!!!We Bitoz ina maaana huoni ushauri wangu au....Akikulalia umekwisha
![]()
![]()
![]()
![]()
..........

Ila alikuwa hatari sana huyu. Mike TysonMzee wa kung'atwa sikio huyooo!!!
Wasomi wa Afrika hawaheshimiki wakiwa Afrika. Huko Ulaya na Marekani wanaheshimika sana tena sana tu.Tatizo la waafrika ni NJAA .....Wamezaliwa vijijini kwenye vibanda vya nyasi na tope hivyo akili zimejaa tope
Usishangae sana kwa mwafrika siasa ndo sehemu pekee rahisi kupiga dili na kupata umaarufu
Huyu bila shaka ni PROF WA PUMBA
Ndio maana wasomi wa kiafrika hawaheshimiki
...................
PamojaHili lifanyiwe kazi na watu wote
Asante
Sijaelewa...Swt p z dea![]()
Maneno muruaWasomi wa Afrika hawaheshimiki wakiwa Afrika. Huko Ulaya na Marekani wanaheshimika sana tena sana tu.
Afrika kinachoheshimika ni pesa haijalishi umezipataje; na usomi wako hauna thamani kama hujatajirika. Ulaya na Marekani msomi/profesa anategemewa kufundisha na kufanya utafiti na jamii inamheshimu na kumuenzi kwa njia hiyo na kamwe hategemewi kuwa tajiri. Ndiyo maana si ajabu kumwona distinguished professor akienda kazini kwa baiskeli au kwa miguu. Hawajali na hakuna atakayemcheka na actually ndo anaheshimika zaidi.
Usilaumu wasomi wa Afrika bali laumu amali zetu zinazomtaka kila msomi awe tajiri badala ya kuupima usomi wake kwa kuangalia mchango wake kitaaluma, kimawazo na kijamii.