Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,383
Ungekuwa ni wewe ungefanyeje katika jamii hii inayoabudu mafisadi na wakati huo huo inachoma moto vibaka wanaokwapua simu na kuku?Maneno murua
Ndio maana nikasema wana njaa sababu wanachotafuta ni utajiri kwenye siasa ili wapige dili
..............
Naamini kuna wasomi ambao kweli wana dhamira kabisa ya kuleta mabadiliko chanya katika jamii lakini wanakumbana na mfumo kinzani na jamii isiyojali wanabwaga manyanga. Si wote wanakimbilia siasa kupiga madili!


