briz
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 4,275
- 19,110
Suluhisho ni kupiga chini hicho kichomi shemMke wa pili ndio suluhisho uongo?![]()
Suluhisho ni kupiga chini hicho kichomi shemMke wa pili ndio suluhisho uongo?![]()


hii ni menyu ya watu wa wapi?Hivi ni mpaka afe ndo aingie mwengine?2015 - Malkia Elizabeth anakuwa Kiongozi aliyetawala zaidi nchini Uingereza.
Ambapo mpaka sasa ameshatawala miaka 64 akiwa madarakani kama Malkia wa nchi hiyo pamoja na nchi nyinginezo kama vile, Canada, Australia, Wales, Scotland na Northern Ireland.
Hoja yako imefika na kila mtu lazima aifanyie kazi hapaNaona mnasahau misingi ya makapuku, hamtoi like.
Mtu analeta mada hajamaliza mnapiga stori katikati yake!
Siku njema. Ijumaa Kareem.
Hoja yako imefika na kila mtu lazima aifanyie kazi hapaNaona mnasahau misingi ya makapuku, hamtoi like.
Mtu analeta mada hajamaliza mnapiga stori katikati yake!
Siku njema. Ijumaa Kareem.
1991 - Oscar anazaliwa.
Ni mchezaji wa klabu ya Chelsea na timu ya taifa ya Btazil.
Shem lake utakua na pumzi sana wallah!Silagi sembe...nakula ugali wa udaga na dona.




Mlinzi: "nikichimama nchale, nikikimbia nchale"hii ni menyu ya watu wa wapi?

Mlinzi: "nikichimama nchale, nikikimbia nchale"hii ni menyu ya watu wa wapi?

Hurray!!!!!!!Leo ni Miezi Mitano toka Kapuku Forum ianzishwe.
Ambapo ndani ya miezi mitano hiyo Uzi huu umeshavuka malengo kwa kuvunja Historia ya kuwa uzi wa kwanza kufikisha 100K kwa muda mfupi tu.
Happy anniversary Kapuku Forum!!
Happy kapukuzzzLeo ni Miezi Mitano toka Kapuku Forum ianzishwe.
Ambapo ndani ya miezi mitano hiyo Uzi huu umeshavuka malengo kwa kuvunja Historia ya kuwa uzi wa kwanza kufikisha 100K kwa muda mfupi tu.
Happy anniversary Kapuku Forum!!









Asante sana kwa historia bepariLeo katika Historia:
Kwa udhamini mnono wa Miezi mitano ya Kapuku Forum tukutane kesho.
Bye...
1976 - Mao Zedong anafariki Dunia.
Ni mwasisi wa chama cha kijamaa huko China.
Niko poa ankali, za wewe?Mkuu briz vp uko poa
1990 - Samuel Doe anafariki Dunia.
Alikuwa ni Rais wa Liberia wa 21.
Aliingia madarakani kwa kumuua Rais na yeye akatolewa madarakani kwa kuuliwa.