Kitombise
JF-Expert Member
- Sep 24, 2013
- 8,651
- 25,843
Uko hapa?Kilimanjaro![]()
Uko hapa?Kilimanjaro![]()
WoyooooooPIGA KEREREEEEEE![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
WOYOOOOOOOOOOOOO
![]()
Muzee iko shida chidogo, su unajuaga kule fasi ya Kongo muzee haipoMzee kwanini hutaki salamu yangu?View attachment 396789
Starehe yake niStarehe yako ni nini Mangi?

Yeah!Uko hapa?View attachment 396790
Ngozi ya?Ngozi
Sasa Diego CostaMzee wakati nina myaka 21![]()
![]()
Oouuuuukey..! Hapo sasa nmeelewaMuzee iko shida chidogo, su unajuaga kule fasi ya Kongo muzee haipo

Kumbe tuko area mojaYeah!
Muzee iko shida chidogo, su unajuaga kule fasi ya Kongo muzee haipo
shkamoo unataka mudada kwa JF inimunyime munini???
Leo katika Historia:
Kwa udhamini mnono wa Miezi mitano ya Kapuku Forum tukutane kesho.
Bye...

Mbona unaweka picha za mtandaoni? Badala ya kuipiga picha uweke hapa ikiwa reality.Nauza projector mpya haijatumika brand new.
Ina weza kutumia flash. Memory card, hdmi,
Ina speaker apoapo
Pia inaweza kutumia earphones.
Inaweza kuunganishwa na simu kwa wifi kudispaly content za simu.
Inaweza kuunganishwa kwa redio na tv![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()

Ni kweli shem sembe sikumbuki mara ya mwisho nilikula lini. Nikila ugali basi ni huo nilioutaja hapo japo sometimes ugali kama ugali huwa sipendi.Shem lake utakua na pumzi sana wallah!![]()
Wenye baby face hao wanaonekana yule kaka mkubwa Costa anataka kutuingiza chaka eti 89??!!.... my A*s.