Sweetiepie
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 6,107
- 24,132
Naona hadi kwao ni msimu wa matikiti maji....chunga usije kula chura tu hapo.Msosi wa Kichina
Hata mimi ananifurahisha kweliNsekwa bhana unanifurahisha post zako
Usichoke kutuletea picha za huko China sisi washamba tuflash macho
![]()
![]()
![]()
![]()
..........


Nsekwa tuletee picha za Leo plzHata mimi ananifurahisha kweli![]()
I cannot wait....Nilifika na kugeuza mkuu...
Now nimekuja urambo, then ntarud tabora halaf huyooo.. Narud zangu maskani.
Salama sanaaaMpo salama wakuu
Wamakonde nao wameanziwa!!




sema jamaa tishaa mbayaaaaSalama sanaaa
Za asubuhi jiraniWazima kabisa, vp wewe
Za AsubuhiUnatumiana RADI
Labda aliweka alarm!Ulivyosema yeye akaja

Shiiiiiiiiiii.....!!!Nsekwa tuletee picha za Leo plz
![]()
![]()
![]()
![]()
...........

Hii ni kali zaidi
Nzuri jirani, za kwakoZa asubuhi jirani
Ukitembelea gallery za simu za watoto wa kike ni wawili tu kati ya 10 utakosa picha ya dizaini hiyo




Saa kumi anapata lunch? Lunch gani hiyo
Jana uliadimika sanaHii ni kali zaidi
Mke wa pili ndio suluhisho uongo?Wakati mwingine ni bora maumivu ya pesa tena kwa muda mfupi tu kuliko maumivu ya mapenzi maishani
