briz
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 4,275
- 19,110
Ohoooo kuna member alileta kiherehere cha kugombea shamba lake, alimtumia radi jamaa aliaga mchana kweupe hajulikani aliko



yule alishindwa gharama mkuu wacha mi nijilie vyanguOhoooo kuna member alileta kiherehere cha kugombea shamba lake, alimtumia radi jamaa aliaga mchana kweupe hajulikani aliko



yule alishindwa gharama mkuu wacha mi nijilie vyanguNi poa sana hommie, ulishafika ulipokua unaenda?Hatujambo, vip hali kiongozi?!
Kama atanielewa, dunia hii tunategemeana sana, kila ulichonacho wew ni fursa kwa mwenzio. Kutegemeana huko ndiko nafasi yetu ya kuuza tulicho nacho na hivyo kutengeneza pesa



Watakufa wao hapa hafi mtu, hilo wanalijuaSitatoa rambi rambi...![]()
![]()
![]()
Umemleta kwasababu ulikuwa umemfichaNipe sababu ya kusema mimi ndo nimemleta. Then nitakujibu
Akhsante sana la aziz, bila wewe siwezi kuwa champion kirahisi we ni mtu muhimu sana kwenye huo ushindi kila mtu hapa KF analijua hiloHongera sana bae kwa kutupia post ya 102k
Ushindi unaendelea kubaki kwenye familia tu
Unaaa siachiii![]()
![]()
![]()
......acha unaa ww
Ni homa ya taifa hiyoNilipoona linahusisha hesabu tu wala sijahangaika nalo
basi unakaribia kuwa MNAA KUUUnaaa siachiii