briz
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 4,275
- 19,110
Ni fresh kabisa ankaliWazima kabisa, vp wewe
Kama MNYAMA na Mwanza ama Mbeya
Zen atarudia km kawaAnaonekana ana afadhali kidogo
Kama dini inaruhusu unaongeza mwingine fasta



Pamoja sanaShwali kabisa tupu humu tunajiachia tu
Ukitembelea gallery za simu za watoto wa kike ni wawili tu kati ya 10 utakosa picha ya dizaini hiyoNoma sna mkuu briz
Unamkomoa nani?Kama dini inaruhusu unaongeza mwingine fasta![]()
Ukitembelea gallery za simu za watoto wa kike ni wawili tu kati ya 10 utakosa picha ya dizaini hiyo
Ukishaongeza mwingine huyu wa zaman unampuuzia badae unampiga chini kabisa iwe 0 costUnamkomoa nani?
Utaweza kuwatunza
........
Unataka umlumagie nin!!?Anafaaa kwa matumizi ya mwanaume kabisa huyu
Fharama ulizoingia kumuoa je haziumi?Ukishaongeza mwingine huyu wa zaman unampuuzia badae unampiga chini kabisa iwe 0 cost
Dogo umeamka na udenda mdomoni jioni yote hiiUnataka umlumagie nin!!?
Hahaa.. Ukielewa weye tu inatosha mkuu, waache vilazaMkuu mi nimekuelewa. Lakini kuna watu hapa umewatisha!
A straight red card inahusika.