Makapuku Forum

Makapuku Forum

Umaarufu unaanzaga kidogokidogo,
Anza kujitangaza mapema:
Ushauri wangu kwako
1. Acha msimamo mkali
2. Acha shobo za kinyaki
3. Acha dharau coz wajinga na
waerevu wote ni wateja wako
watarajiwa
NIMEKUSOMA SANA UNA HAYA;
1. unajua kusimamia jambo lako
ambalo n jambo jema kibiashara
2. Wew ni mbunifu sana, hii ni fursa nzuri ku make money kwako
Safi.. Ushaur mzur..
 
Wamejiajiri hawa
1473328455736.jpg
 
Hayo ni makosa makubwa mnoo kwenye ndoa nyingi..

Nataka kuanzisha kituo cha ushaur wa ndoa ni vipi watu wanaweza kuishi ndani ya ndoa na mambo mengine mengi kuhusu ndoa.
Mi ninachoanzisha sisemi kwanza kuna "matapeli wa idea" nishawahi kuibiwa project na watu niliowaamini halafu now inabamba
.................
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom