makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,866
- 104,058
Safi.. Ushaur mzur..Umaarufu unaanzaga kidogokidogo,
Anza kujitangaza mapema:
Ushauri wangu kwako
1. Acha msimamo mkali
2. Acha shobo za kinyaki
3. Acha dharau coz wajinga na
waerevu wote ni wateja wako
watarajiwa
NIMEKUSOMA SANA UNA HAYA;
1. unajua kusimamia jambo lako
ambalo n jambo jema kibiashara
2. Wew ni mbunifu sana, hii ni fursa nzuri ku make money kwako


