Tetramelyz
JF-Expert Member
- Apr 25, 2014
- 4,369
- 12,469
Niko poa shem lake, habari ya pande hizo?Hatujambo uko poa??
Itakuwa ulikuwa umemficha....sio bureeAmerud
Yeye ruksa..Ameishaelewa hatakusifia tena kwa uzuri

HapanaaNgoja aje bitoz mvaa kata k.
Haha poa poaDu. ila mi niliwahi kwa 0.01sec kabla ya kutupia, ila tusubilie ijayo
Ni wapi huko mkuu?Daraja hili lina urefu wa kama 11km linafanana na lile la Kigamboni, kabla ya daraja kuna tunnel ya km9
Mbina wew mbea hivi au mnyaki niniItakuwa ulikuwa umemficha....sio buree

Ni Shanghai China mkuuNi wapi huko mkuu?
We andazi lilijaa mafuta ulitakaje!!We kiazi bado upo
![]()
![]()
![]()
........

Na kwako pia mkuuPoa poa kamanda.. Uwe na siku njema.
Hahahaaaa....yaishee....nisijerogwa mimiMbina wew mbea hivi au mnyaki nini![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Hao nao kwa ujenzi ni kiboko kabisaNi Shanghai China mkuu
Hahaa...Tutake radhi tafadhali, hakuna kibwengo hapa
Ukiingia anga za briz anakuroga kwelHahahaaaa....yaishee....nisijerogwa mimi

Sisi bado sana kama vile tumelalaHao nao kwa ujenzi ni kiboko kabisa
Hi!!Hello swetiepie!!
Mean hi youtube Mbona Quality nzuri tu...au bandoMambo ni gani baby ake.. Miss you mingimingi


