Sweetiepie
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 6,107
- 24,132
Aisee100k imemuuma
Yupo humuhumu JF
![]()
![]()
![]()
![]()
.........
Aisee100k imemuuma
Yupo humuhumu JF
![]()
![]()
![]()
![]()
.........
Acha unaaa wewwAisee
Huko mitindoni nimekucheki uko poa sana,Jukwaa la mitindo
![]()
![]()
![]()
............

Kivipi?Acha unaaa weww
Ahsante kwa magazeti!!View attachment 396046View attachment 396047
Kwa udhamini mnono wa siku ya wapenda bia nchini Marekani ndio tumefikia mwisho katika uchambuzi wa magazeti
Naitwa Jimena Jimenes... Nawatakia siku njema na muwe na furaha tele.
Adios
Nimetambua mchango wake!!Asante sana bapari wetu kwa historia
Hatimae Mrs Navutwa apata shavu
Acha uboyaHuko mitindoni nimekucheki uko poa sana,
Ukiachaga ujinga uko poa sanaa kichwani![]()
![]()
![]()
![]()
Dharau![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Sinaga hayo mkuu
Ingekua ishu ya pesa hapo sawa
Kiaje?Nimetambua mchango wake!!
Nin tena mchumbaDharau

Hahaha sasa mkuu ningefanya fitna si ningeshida? Mi mwenyewe nahisi nilifanyiwa fitna na malalamiko ni mengi sanawengine wanasema eti walivutwa
![]()

Hatujambo uko poa??Hamjambo familia?
Umaarufu unaanzaga kidogokidogo,Acha uboya
Kuna blogger namwandikiaga kwa "makubaliano"
Mpango ni kuanzisha blog yangu sema nasikia ukiwa maarufu ndo unapata matangazo
Hiyo ndo shida
................
HBD Pink1979 - Pink anazaliwa.
Ni mtunzi wa nyimbo pamoja na muigizaji toka nchini Marekani.
HBD Wiz khalifa, huyu jamaa amepinda kama ndugu yetu jonax1987 - Wiz Khalifa anazaliwa.
Ni mwanamuziki kutoka nchini Haiti.


Mabangi eeeHBD Wiz khalifa, huyu jamaa amepinda kama ndugu yetu jonax![]()