Umaarufu unaanzaga kidogokidogo,
Anza kujitangaza mapema:
Ushauri wangu kwako
1. Acha msimamo mkali
2. Acha shobo za kinyaki
3. Acha dharau coz wajinga na
waerevu wote ni wateja wako
watarajiwa
NIMEKUSOMA SANA UNA HAYA;
1. unajua kusimamia jambo lako
ambalo n jambo jema kibiashara
2. Wew ni mbunifu sana, hii ni fursa nzuri ku make money kwako
Shombo & dharau zangu ni za kiutani
Kumbe unachukulia serious
Zimesaidia kunyoosha wazinguzi bila hivyo mambo yasingeenda
In real life mm ni mcheshi na mpole
Anyway thanks kwa ushauri
........................