Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kujua unanipenda tu japo umeshanipa talaka ni furaha tosha.
nafurah pia kulijua hilo, furaha yako ni moja kati ya vtu muhimu zaid maishan mwako, ntaidumisha daima.. Ntakupenda daima no matter ni situation gan tutakuwepo, ila still utakuwa moyoni mwangu, kutokuwa naw in love haimaanishi kuwa sikupend, hata nikiwa na mke mwingine stil uwepo wako moyon haufutiki.. Just nmekosa kitu fulan toka kwako cha kimaisha thats y nikamove on..

Najiskia kidume zaid kwa kumuona mwanamke nimpendae zaid yuko happy sababu ya mimi...

Leo nikipata wasaa ntakupigia simu, niskie kisaut chako kitamu, n siku jimena akija na briz kigambon kuchukua zawadi yake ya 100k, waweza kuja pia.. Sina kinyongo nawe.
 
nafurah pia kulijua hilo, furaha yako ni moja kati ya vtu muhimu zaid maishan mwako, ntaidumisha daima.. Ntakupenda daima no matter ni situation gan tutakuwepo, ila still utakuwa moyoni mwangu, kutokuwa naw in love haimaanishi kuwa sikupend, hata nikiwa na mke mwingine stil uwepo wako moyon haufutiki.. Just nmekosa kitu fulan toka kwako cha kimaisha thats y nikamove on..

Najiskia kidume zaid kwa kumuona mwanamke nimpendae zaid yuko happy sababu ya mimi...

Leo nikipata wasaa ntakupigia simu, niskie kisaut chako kitamu, n siku jimena akija na briz kigambon kuchukua zawadi yake ya 100k, waweza kuja pia.. Sina kinyongo nawe.
 
Pole jamani...ungeenda sijui ningeishije mimi!! final destination ni movie nzuri sana ile aisee
We acha.. Kifo kitu kibaya, ilikuwa tunakufa tunajiona kwa kweli..

Ungelia tu, but mwishoni ungezoea na kusahau.. Tunakaa akili lini tukiwa hai, tukifariki tunapitlza tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom