Makapuku Forum

Makapuku Forum

FIX ZA ST. BITOZ:
hapo juzijuzi kulikuwa na Nyumba moja ya tajiri ambaye alikuwa na wafanyakazi 20 + vijakazi hewa maisha yalikuwa poa akawa anawalipa mishahara mdogo lakini mambo yalisonga

Sasa baada ya kufariki Nyumba ikarithiwa na mdogo wake ambaye ni bahili na mpenda sifa..akaja na Sera ya kubana matumizi na kuvisaka vijakazi hewa...akapunguza kutoka watumishi 20 hadi kuwa 7 tena bila kuajiri wapya...akakurupuka tena kwa kuwazuia wasiende nyumba za jirani

Now mkurupukaji kagundua mambo magumu pesa hakuna halafu mshahara anaowalipa hao 7 ni mkubwa kuliko wale 20 wa zamani....now anamsaka Mchawi
NB;
ni fumbo km hujaelewa kunywa togwa ulale usinisumbue


***********************
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom