briz
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 4,275
- 19,110
Si ungemtumia PM km ni kwa ajili yake
![]()
![]()
.........



mapenz yenyewe yameanzia hapahapa jukwaani acha ajiexpress banaSi ungemtumia PM km ni kwa ajili yake
![]()
![]()
.........



mapenz yenyewe yameanzia hapahapa jukwaani acha ajiexpress banaPoa ntaileta muda si mrefu.Sweetiepie angeiweka muda huu old is ever gold, halafu usiku Dj Cobblepots nae akatupia za kwake
Nilikuwa napika, ngoja niiandae basi.Sweetiepie leo kimya ya kale ni dhahabu
Hizi sasa ni fitna kwakweli!!nyie hamuwez mkawa sample kwa kweli.. Kwanza sweetiepie mwenye haeleweki mara kwako mara kwa QUIGLEY



We unapiga maktime juu kwa juu huko wenzako wanatoana roho huku

mapenz yenyewe yameanzia hapahapa jukwaani acha ajiexpress bana
Hata mvua ilinyesha aisee...hali ni shwaaaari.Tuko poa, kiubaridi kwa mbali na jua hamna, dar utaipenda kwa leo



cc sweetiepieMasihara hayo jamani....mweeeeeer basi movie iishe starring kafia kwenye maua!!We unapiga maktime juu kwa juu huko wenzako wanatoana roho huku![]()
Urudi huko huko uripotoka hatukutaki huku!!!
Hayo mataili vipi?
Couple yenu naielewa sana Briz nae kakuiba kwa Szncy hahaha, tatizo Makaveli kanikuta nina majanga majanga tu mara ya mwisho nilikuwa housegirl......ila nashukuru ana Juhudi sana kubring spark na bond between us...nachomuogopa Quigley 123 akija huwa ananikana!!!
![]()
Tigo Express urself!!!mapenz yenyewe yameanzia hapahapa jukwaani acha ajiexpress bana

Couple yenu naielewa sana Briz nae kakuiba kwa Szncy hahaha, tatizo Makaveli kanikuta nina majanga majanga tu mara ya mwisho nilikuwa housegirl......ila nashukuru ana Juhudi sana kubring spark na bond between us...nachomuogopa Quigley 123 akija huwa ananikana!!!
![]()



eti nimemuiba, mi na Szczesny tulikuaga na nafasi sawa ila nlikua namuachia tu kwasabu alikua haiwezi battle na angeweza kujinyonga si unajua tena kabila lake?Masihara hayo jamani....mweeeeeer basi movie iishe starring kafia kwenye maua!!



