makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 36,011
- 104,595
Kwenye ubora wangu...Baba swt p
Kwenye ubora wangu...Baba swt p
Umeniacha hapo kwenye mkono wa chuma ama unamaanisha mguu wa kuku?Augusto Pinochet alikuwa ni kibaraka wa Marekani na aliongoza nchi kwa mkono wa chuma.
Na kweliKwenye ubora wangu...
Wenzenu wanatuchukulia mimi na cwt"p" wangu az a sample kwao, si vibaya na nyinyi mkitupigia chabo ndugu yanguHii couple ya hawa mastaa naikubali sana.... Baby wangu Jimena tuichukue hii kama sample![]()
Best couple ever!Wenzenu wanatuchukulia mimi na cwt"p" wangu az a sample kwao, si vibaya na nyinyi mkitupigia chabo ndugu yangu

Umeniacha hapo kwenye mkono wa chuma ama unamaanisha mguu wa kuku?
kweli kakuachaUkitoa shilingi 10,000 bar unaonekana kibopa lakini ukitoa hiyo noti kwenye daladala unaonekana msumbufu.. Hii inaitwa muktadha... Ukivaa gauni refu la kitenge kanisani unaonekana una maadili ila ukivaa gauni kama hilo club unaonekana mshamba... Hii inaitwa utambuzi... Ukinyoa para kama una hela unaonekana smart ila kama ni masikini unaonekana chokoraa.. Hii inaitwa nguvu ya pesa.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
MUWE NA WEEKEND NJEMA WAUNGWANA......



umepotea sana mkuuInaitwaje?Ichek movie ya snoop na wizzi khalifa kuna kipengele wanaizungumzia pussy..
Pussy vs mjani
Vinara wa msafaraBest couple ever!![]()
Ni poa sana ankali, vp pande hizo?Nzuri, za wewe briz
Hata mimi nilitaka kumuuliza maana huwa napenda sana muv ya blacksInaitwaje?
Ulipotelea wapi?Ndo nimekuja la aziz
Tuko poa, kiubaridi kwa mbali na jua hamna, dar utaipenda kwa leoNi poa sana ankali, vp pande hizo?
Ni kweli lakin sioni ratio, makampuni mengine makubwa kama google mbona hayana bure japo yana matangazo pia?Wanaingiza pesa nyingi sana kwenye matangazo ya biashara
Sijambo kabisa, hofu kwako tuBaby.. Umeamkaje?
Bila shakaHii couple ya hawa mastaa naikubali sana.... Baby wangu Jimena tuichukue hii kama sample![]()
Nliwah kuona hiyo picha ya tukio beyonce alichafuka vumbi ka mdada wa uswahilini tuAlivyokuja bongo pamoja na jayz


.. Sa sijui ilikua ni hapo?Naunga mkono hoja DJ Cobblepots awe anafanya mambo dailyKaka nimekusoma sana... Inabidi hiki ki-segment kiwepo kila siku sasa ikibidi mana sio kwa utamu huu![]()