Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,636
Kuweka rekodi sawa.
Hispania alibeba ubingwa wa Mataifa ya Ulaya mwaka 2008 chini ya Luis Aragones.
Unamkumbuka Marco Senna.
Nahisi ngozi ilimponza
......
Kuweka rekodi sawa.
Hispania alibeba ubingwa wa Mataifa ya Ulaya mwaka 2008 chini ya Luis Aragones.
Unamkumbuka Marco Senna.
Kimasihara masihara hivi hivi hadi tunajikuta tumemasta kabisa hizi lugha za kigeniGracias mi hermanas

Ni kweli kabisaKimasihara masihara hivi hivi hadi tunajikuta tumemasta kabisa hizi lugha za kigeni![]()
Augusto Pinochet alikuwa ni kibaraka wa Marekani na aliongoza nchi kwa mkono wa chuma.
Asante jimena kwa magazeti uwe na jumapili njemaView attachment 393313View attachment 393314
Asanteni sana kwa kuwa nami katika kuperuzi magazeti ya Leo
Jina langu ni Jimena Jimenes
Kwa udhamini mkubwa kabisa wa ankali shululu na post ya 96k nawatakia jumapili njema na muwe na furaha tele
Adios
Kabisa, maana Hispania nao kwa ubaguzi wako vizuriView attachment 393317View attachment 393318View attachment 393319View attachment 393320
Nahisi ngozi ilimponza
......
Umeambiwa wanapinga ukatoliki ....lazima wawe mawakala wa SatanMbona kama mashetani hawa.
Kitu kizuri uzunguni ukidanganya umri unaumbukaHuyu beyonce nae kwenye suala la umri ni kama sepenga...maana mara 1981 mara sijui 1978 eeeh!!
Sasa hivi zama za MjerumaniHata wakishiriki ndondo cup watapigwa tuu
Kuna kocha wao mbaguzi sijui ndo huyoKabisa, maana Hispania nao kwa ubaguzi wako vizuri
Who is Satan??Umeambiwa wanapinga ukatoliki ....lazima wawe mawakala wa Satan
![]()
![]()
![]()
........
SijuiWho is Satan??
Ukizaliwa Afrika wanaingiza kwenye system ule umri ulioandikwa kwenye passport na hutaweza kuubadili tenaKitu kizuri uzunguni ukidanganya umri unaumbuka
Kule full data labda uzaliwe Afrika
.......
Muite fundi...1993 - Yannick Carrasco anazaliwa.
Ni mchezaji wa klabu ya Atletico Madrid na timu ya taifa ya Ubelgiji.
Tunashukuru san mwenyekiti wa madikteka afrika masharik na kati, dunia nzima.Leo katika Historia:
Kwa udhamini mnono wa KF members, sina la ziada tukutane kesho!!
Karibu JJ kwa magazeti.
Jumapili njema!!

Kaka mkubwa, hamjambo na mkeo!Tunashukuru san mwenyekiti wa madikteka afrika masharik na kati, dunia nzima.![]()
![]()
![]()
results
result za google hizo...

Winga huyu.. Winga teleza, alitusumbua arsenal tulipotolewa na monaco uefa kubwa, amehamia atletico anaendelza moto.. Ni mchezaji mzur sana, hasa kwa kizaz cha baadae.