Makapuku Forum

Makapuku Forum

1970 - Salvador Allende anachaguliwa kuwa Rais wa Chile.

Miaka mitatu baadae anapinduliwa katika kile kilichoitwa mapinduzi ya Kijeshi yaliyoungwa mkono na CIA na kumiweka madarakani kibaraka, General Agusto Pinochet.

Baada ya kupinduliwa Rais Allende alijiua kwa kujipiga risasi.
 
1970 - Salvador Allende anachaguliwa kuwa Rais wa Chile.

Miaka mitatu baadae anapinduliwa katika kile kilichoitwa mapinduzi ya Kijeshi yaliyoungwa mkono na CIA na kumiweka madarakani kibaraka, General Agusto Pinochet.

Baada ya kupinduliwa Rais Allende alijiua kwa kujipiga risasi.
Aliona fedheha..
 
Leo katika Historia:

1888 - George Eastman anaanzisha kampuni yake ya Kodak huko Marekani.

Kodak inajihusisha na utengenezaji na usafishaji wa picha.
1472963463553.jpg
1472963471627.jpg
1472963477731.jpg
1472963485094.jpg

Nice
.......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom