Makapuku Forum

Makapuku Forum

1472971818266.jpg
1472971838136.jpg
1472971849646.jpg
 
Aragones alikuwa fundi sana, ila pia tukubali credit ziende kwa Barcelona kwa kutengeneza msingi uliokuwa mzuri kwa klabu yao na timu ya taifa.

Chini ya mfumo huo, Xavi hakuwa binadamu wa kawaida!! Yeye ndio alikuwa " conductor " wa tik-taka ndani ya uwanja kwa klabu na timu ya taifa.!!
Ni kweli, ila na uvumilivu wa kocha, baada ya kuvurunda kwenye mashindano ya mataifa ya mwaka 2008, wahispania wengi walitaka atimuliwe kabisa, lakini Chama kikawa na imani naye, na baadaye wakaona matunda yake
 
Ni kweli, ila na uvumilivu wa kocha, baada ya kuvurunda kwenye mashindano ya mataifa ya mwaka 2008, wahispania wengi walitaka atimuliwe kabisa, lakini Chama kikawa na imani naye, na baadaye wakaona matunda yake
Kuweka rekodi sawa.

Hispania alibeba ubingwa wa Mataifa ya Ulaya mwaka 2008 chini ya Luis Aragones.

Unamkumbuka Marco Senna.
 
Aragones alikuwa fundi sana, ila pia tukubali credit ziende kwa Barcelona kwa kutengeneza msingi uliokuwa mzuri kwa klabu yao na timu ya taifa.

Chini ya mfumo huo, Xavi hakuwa binadamu wa kawaida!! Yeye ndio alikuwa " conductor " wa tik-taka ndani ya uwanja kwa klabu na timu ya taifa.!!
1472972157473.jpg

La Masia
Fainali UEFA Manyau tulinyanyaswa sana mpira ukawa mdogo km goroli

Asubuhi yake nikavikuta vitoto vinacheza mpira na jezi za Barca nilitamani niwapige makonzi na kuwapora mpira

........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom