Makapuku Forum

Makapuku Forum

1970 - Salvador Allende anachaguliwa kuwa Rais wa Chile.

Miaka mitatu baadae anapinduliwa katika kile kilichoitwa mapinduzi ya Kijeshi yaliyoungwa mkono na CIA na kumiweka madarakani kibaraka, General Agusto Pinochet.

Baada ya kupinduliwa Rais Allende alijiua kwa kujipiga risasi.
Kumbe Pinochet alikuwa zao la kupandikizwa
 
1472971372364.jpg
Naona kaka mkubwa kajiopolea.....
 
Chini ya marehemu Algones, alikaa na hiyo timu muda mrefu sana mpaka kupata mafanikio hayo
Aragones alikuwa fundi sana, ila pia tukubali credit ziende kwa Barcelona kwa kutengeneza msingi uliokuwa mzuri kwa klabu yao na timu ya taifa.

Chini ya mfumo huo, Xavi hakuwa binadamu wa kawaida!! Yeye ndio alikuwa " conductor " wa tik-taka ndani ya uwanja kwa klabu na timu ya taifa.!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom