Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hapaswi kushusha thaman utu wake kisa pesa.. Hebu fikiria wanae wanamchukuliaje.. Vipi watu timam waliomzunguka, ni kama vile mtoto uwe na maza kicheche.. Kama anafanya hayo kisa pesa hana tofaut ya kiakili wala kiroho na wale wanaotembea uchi kwa tv.. Kama anayafanya haya madogo ili apate pesa, vip akipewa dau kubwa zaid, si atafanya ambayo hujawah kumuwazia..
Hilo nalo neno lakini
 
MZEMBE; Mambo Rehema?
REHEMA; Poa!!
MZEMBE; Kuna Kitu Nataka Nikuonyeshe!!
REHEMA; Kitu Gani!?
MZEMBE; Twende Chumban Kwako..
(Wakaenda)
REHEMA; Nionyeshe Basi!
MZEMBE; Funga Mlango na Madirsha
Kwanza..
(Rehema akafunga)
REHEMA; Nionyeshe Sasa!!
MZEMBE; Zima Taa Kwanza..
(Rehema akazima)
REHEMA; Mmh.. Haya Nionyeshe Sasa!!
MZEMBE; Haya Njoo Hapa Kitandani..
(Akapanda)
REHEMA; Ok, Nionyeshe..
MZEMBE; Ona Mwenzio
Nimenunua Saa
Yakuwakawaka.
 
Jirani Kuna chanel za TV zipo zuku, magic TV,smash TV,kerang TV,hits TV na MTV base, Sasa ondoa hiyo MTV hizo nyingine kwa music ni shida, hasa magic ya wamarekani Sina cha kuwaelezea ila kifupi wako vizuri
Wewe ni jirani mzuri sana nashukuru kwa kuniambia hiii yani tangu nione siku ile umenunua tu mbona mi fasta tu...nikatafuta hiyo Zuku Magic ndio hatari wana miziki ile ile yenyewe na wanapiga sana hadi top 100. Kumbe na Smash, Kerrang na Hits tv pia? ngoja nianze kufuatilia. Thanks
 
MZEMBE; Mambo Rehema?
REHEMA; Poa!!
MZEMBE; Kuna Kitu Nataka Nikuonyeshe!!
REHEMA; Kitu Gani!?
MZEMBE; Twende Chumban Kwako..
(Wakaenda)
REHEMA; Nionyeshe Basi!
MZEMBE; Funga Mlango na Madirsha
Kwanza..
(Rehema akafunga)
REHEMA; Nionyeshe Sasa!!
MZEMBE; Zima Taa Kwanza..
(Rehema akazima)
REHEMA; Mmh.. Haya Nionyeshe Sasa!!
MZEMBE; Haya Njoo Hapa Kitandani..
(Akapanda)
REHEMA; Ok, Nionyeshe..
MZEMBE; Ona Mwenzio
Nimenunua Saa
Yakuwakawaka.
Sasa Mukongo ulitaka Mzembe afanyeje si alitaka Rehema aone saa yake ya Kimwekumweku au?!!
 
Wewe ni jirani mzuri sana nashukuru kwa kuniambia hiii yani tangu nione siku ile umenunua tu mbona mi fasta tu...nikatafuta hiyo Zuku Magic ndio hatari wana miziki ile ile yenyewe na wanapiga sana hadi top 100. Kumbe na Smash, Kerrang na Hits tv pia? ngoja nianze kufuatilia. Thanks
Nazikubali sana hizi chanel, hits niya uingereza wanapiga sana nyimbo za uingereza
 
36d89446018f4357c1b28f3b718fb4d6.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom