makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,993
- 104,502
Sometimes nakosa maneno sahihi yakueleza vile nakupenda.. Nikiandika kwa maneno ndio yatakuwa maneno ntajaza kitabu cha page 10000 na isitoshe, nikikutungia nyimbo itakuwa best song ya mapenz kwa muda wote mpaka kiama..I will always make you feel special...we belong together my darling. Kiss![]()









