Makapuku Forum

Makapuku Forum

1472750768711.jpg
 
Msimu uliopita nyuma yake, mechi kama hiyo iliyopigwa OT, Man Utd tulipata Penati dk za jioni kabisa, Van Nistelrooy akaenda kupiga akapiga mwamba wa juu akakosa.

Mechi ikaisha 0-0. Baada ya hapo Wachezaji wa Arsenal wakiongozwa na kamanda Martin Keown, Lauren, Ashley Cole na wengineo wakamfanyia vurugu kubwa kwa kumshika kichwa chake wakimtuhumu alijiangusha ndio maana Utd ikapata Penati.

Pia walimtuhumu kuwa alimdanganya refa hadi capyltain Vieira akapewa red card.
Nakumbuka vizuri siku ile chupuchupu rekodi ife Van Nistelrooy aligongesha mtambaa panya

.......
 
Kuna game moja ilikuwa Holland na Yugoslavia, Edgar na Denis walionesha ushilikiano mkubwa sana mpaka wakapata ushindi, kocha alikili kuwa Hao Jamaa hapatani nao lakini matukio ya uwanjani ya Hao Jamaa huwa yanamkuna sana
hahaha...umenikumbusha mkasa wa Fundi wa mpira kutoka Argentina, Fernando Redondo alipoambiwa anyoe nywele zake ili ashiriki kombe la dunia mwaka 1998 akagoma.

Hivyo akaachwa.
 
Kweli mambo yanabadilika afadhali Bailly kaja jamaa ana roho ya paka
...........
Hapo ndugu zangu mmepata kifaa, kila nikimchunguza bailly eric namuona amekamilika kila idara, ana nguvu, ana akili, mzur kwa mipira ya juu, mzuri mipira ya chini, anajua kujipanga yeye na wenzake.. Full control, vyote anavyohitaji bek wa kisasa anavyo.. Nilitaka nisahau, ana timing nzur mnoo..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom