shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Nchi ya viwanda
Nchi ya viwanda
Hata JJ yupo pembeni yake

Cc jimenaIna maana tunashangaana
![]()
![]()
![]()
![]()
Ile mechi refa aliwabeba sana, hata hiyo penalty iliyotolewa haikustahili kabisa
Love you too my cwt"P"I love u my darling...![]()
Nguvu ya hoja au hoja ya nguvuwakuu hapo inabidi m-concetrate na hiyo figure na si rangi coz hayo sio mauwa rose mpaka yalete maana kwa rangi... Kopa itabaki kuwakilisha penzi tu hata iwe ya njano ama nyeusi... Ova
Unamuita wa nin nawe nae.. Mbona unataka kuniltea nongwa babu.. Mambo ya kibarazan unataka kuyapeleka uwan ndugu yangu.Hela zote hizo huwa zinakaa kwenye mfuko wa kanzu?
Cc sweetiepie
Kamsaidie huyo mzee..
Inategemea na gari yenyewe, labda hvi vigari vyenu vya lita 1 unakula misele mpaka unachoka..
Askari ni majipu uchungu
Haha hoja ya nguvuNguvu ya hoja au hoja ya nguvu
Nlikua najua ye ndo mtunza hela zakoUnamuita wa nin nawe nae.. Mbona unataka kuniltea nongwa babu.. Mambo ya kibarazan unataka kuyapeleka uwan ndugu yangu.
Mwenzio pesa kama hzo huwa sizipelek popote, ilikuwa ishapangiwa matumizi, nikusubiri siku tu ifike, nikajionea tabu kuiweka halaf nikaitoe. Ndio hapo kati dogo akaziotea.
Labda hauko mbali sana na ukweliNi kwl copa ni love but kila rangi inaashiria aina gan ya love

Hizo ndio akili zenyewe... Tunataka mifano halisi, sio mifano hewa.

Wadachi kwenye ubora wao.Alikuwepo katika Uholanzi kali iliyotisha Ulaya katika miaka ya mwisho ya 1980's
Hapo walikuwepo na wachawi wengine wa kidachi kama Frank Rijkaard, Ronald Koeman na Marco Van Basten huyu tulivaa hadi suruali zilizoitwa Van Basten.
Uholanzi hiyo ilitikisa Ulaya kwa total football. Walichukua ubingwa wa Euro 88.
Lkn sio chalinzeHahaaaaa, Aisee mkuu umenikumbusha longi sana
Naamin hata F.A hawakutaka arsenal waweke rekod ya 50 games bila ya kufungwa.. Refa sijui alikuwa man u yule nyama yule..Kuna pambano moja la Man Utd Vs Arsenal liliitwa Battle of the Buffet 2 " lilifanyika Old Trafford ambapo Arsenal alilala 2-0 na kukatishiwa rekodi yake ya mechi 49 bila kufungwa.
Katika pambano hilo, Gary Neville alitumia muda wake mwingi kumchezea rafu Reyes hali iliyomfanya Wenger kuhoji kwanini Mwamuzi Mike Riley hakumpa red card Gary Neville.
Ilistahili iwe kona?Ile mechi refa aliwabeba sana, hata hiyo penalty iliyotolewa haikustahili kabisa
Ilikuwa njian kwa ajili ya matumizi..Huyu mtu ana matatizo na hela...na kwanini uweke hela kwenye kanzu, hukuona sehemu nyingine! baby nae
Cc: Makaveli
Kama gaucho vile..Aunt yangu ni shiiida