Haaa huyu dogo mtata
Aunt yangu ni shiiida
Kuna pambano moja la Man Utd Vs Arsenal liliitwa Battle of the Buffet 2 " lilifanyika Old Trafford ambapo Arsenal alilala 2-0 na kukatishiwa rekodi yake ya mechi 49 bila kufungwa.
Katika pambano hilo, Gary Neville alitumia muda wake mwingi kumchezea rafu Reyes hali iliyomfanya Wenger kuhoji kwanini Mwamuzi Mike Riley hakumpa red card Gary Neville.
Mkuu inabidi ujifunze aina ya rangi
Hiyo purpleimeingia je hapa!!!???


wakuu hapo inabidi m-concetrate na hiyo figure na si rangi coz hayo sio mauwa rose mpaka yalete maana kwa rangi... Kopa itabaki kuwakilisha penzi tu hata iwe ya njano ama nyeusi... OvaHahaaaaa, Aisee mkuu umenikumbusha longi sana
Ni kwl copa ni love but kila rangi inaashiria aina gan ya lovewakuu hapo inabidi m-concetrate na hiyo figure na si rangi coz hayo sio mauwa rose mpaka yalete maana kwa rangi... Kopa itabaki kuwakilisha penzi tu hata iwe ya njano ama nyeusi... Ova
Uko sahihi kabisa, hiyo Holland ilitisha sanaAlikuwepo katika Uholanzi kali iliyotisha Ulaya katika miaka ya mwisho ya 1980's
Hapo walikuwepo na wachawi wengine wa kidachi kama Frank Rijkaard, Ronald Koeman na Marco Van Basten huyu tulivaa hadi suruali zilizoitwa Van Basten.
Uholanzi hiyo ilitikisa Ulaya kwa total football. Walichukua ubingwa wa Euro 88.