makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 36,011
- 104,571
Ewaaa.. Hapo umelenga.Hamia geto kwake sasa uzuie hivyo vichenchede![]()
Ewaaa.. Hapo umelenga.Hamia geto kwake sasa uzuie hivyo vichenchede![]()
Super...Nadhani ni vile vya past alivyonihadithia...huyu ni wangu sasa ntamuelekeza money management atakuwa makini.
you r my 1st, my last n everything in btwn.Mie ndio maana natembeaga kibati tuu..
Hahaaa...Nahisi anaweka chini ya uvungu
Asante kwa historiaSina la ziada kutoka katika dawati langu, kwa udhamini mnono wa JJ, tukutane kesho.
Nakuaminia shem lakeNadhani ni vile vya past alivyonihadithia...huyu ni wangu sasa ntamuelekeza money management atakuwa makini.
I love u my darling...Super...you r my 1st, my last n everything in btwn.

Naelewa baby.... Mi mwenyewe nakuzimia jinsi ulivyo tu



yan najiskia kama naimiliki bahari vileNtabaki wa kwako mpaka mwisho.. Huba tele mtimaniNakupenda pia
Hela zote hizo huwa zinakaa kwenye mfuko wa kanzu?Ndani tu ndugu yangu.. Kazifumania kwenye mfuko wa kanzu..
Hehehe ila unamiliki zaidi ya bahariyan najiskia kama naimiliki bahari vile
Ndio namshangaa sasaWakati sisi tunampango wa kuishi 400yrs![]()
![]()
![]()
![]()