makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 36,011
- 104,593
Kuangusha sidhan, sikumbuk lini niliangusha, na kwa ubebaji wangu wa pesa hata nikiangusha ngumu kugundua ila kuibiwa ndio mara nying, zaid, last time kaja ndugu yangu tumechangia baba.. Kanipiga karbia laki 4 hv.. Nahisi alikuwa anachota kidogo kidogo kuja kugutuka imebaki laki 4kwan hizo hela unazipoteza kwa kudondosha ama?

pia nitakapofika tutaweza kuangalia wapi panatufaa kwa pamoja
