Makapuku Forum

Makapuku Forum

kwan hizo hela unazipoteza kwa kudondosha ama?
Kuangusha sidhan, sikumbuk lini niliangusha, na kwa ubebaji wangu wa pesa hata nikiangusha ngumu kugundua ila kuibiwa ndio mara nying, zaid, last time kaja ndugu yangu tumechangia baba.. Kanipiga karbia laki 4 hv.. Nahisi alikuwa anachota kidogo kidogo kuja kugutuka imebaki laki 4
 
Watu hawaangushi, kuna siku pia niliokota sh 900 noti ya 500 na mia mia 4 ilikuwa kwenye seat daladala ya mwenge posta, ila sijawahi kuhadithia mtu naonaga aibu maana ni ndogo sana
Hiyo ni kama miaka 5 au 6 iliyopita
Mh bas utakua na nyota ya hela wewe.. yan hata konda hakuiona kabisa hiyo?
 
Mdogo wangu tusitenganishwe na mtoto wakat mitumbwi ipo

Mrembo yupo hapa, wewe upo na mimi nipo.. Tumuulize tu moyo wake upo wapi kwa sasa akisema anakuzimia wewe mimi sina kinyongo ntamruhusu, akisema mimi nawe pia utupe tu greenlight joh..

Sio unazunguruka utafikiri kona ya mlevi bhana, mpaka ashike ukuta.
Makaveli, ni jimena kwenda iringa na si mimi na jirani yangu

Sweetiepie ni jirani yangu wa ukweli
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom