Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,105
Thnx lv..

Haha dry kwa nani sasa?We nae uko dry...
Labda kama utaenda nae kaburini..Eti baby ukitumia ile pistol ukaenda jera si ndio utaniacha nae au..??
Mpe sasa ashasema yake20sek ya noti![]()
![]()
kuna mtu akawa ananishinikiza niiache eti itakuwa wanafunzi ndio wamedondosha nikaona asiniletee siasa nikaiweka kwenye mkoba kisha nikachukua
nikaendelea na safari zangu
Hivi vishawishi sasa b.day yenyewe ishapita....Njoo nimeiweka palee kbtn
Tena kwa asilimia 100JJ anahusika huko
Huba atakuja huko ondoa shakaNdio sa ivi kawaida sana barid linakuepo kidogo usiku
MhhAibu yako,
Hata wew!!!
Ila finally umerudi tena ukiwa katika ubora wakoKuna mambo yalinipoteza shem lake
1. App ilizingua sana na mpaka sasa bado haijatulia japo nime reinstall upya
2. Ubize wa hapa na pale
3. Harakati za ukuta
Yaani ameniroga huyu mkaka...mbona amenipataKwa hapo umepatikana jirani


Majaribu ya dunia ni mengi sana Ankali ila sasa ntahakikisha nafika kutoa sapotiAnkali hujafika siku zote unasema hivyo
Mie siokoti ila napoteza mim tu, sijui nna nyota gani mie maskini.Sasa mi sijaokota hata mia since then sa sijui ndo sina bahati ama watu wamekua wachumi sana
Punguza wivu sasaUnajua nalinda lesen yangu isiwe domant thus y napitia kotkote
Asante pachaKwakwei hii couple nimeikubali sanaa
Hahahaa kwa hilo usipate tabu honey wangu, mchana ntakukaribisha lunch hapa kwa picha afu utaniambia kama wako vizuri ama tubadilishe chimboRelax
Punde tu ntajumuika. Sasa ushapata sehemu nzuri ya kupiga menu?? Manake si unajua vile navyopenda kula??
Na jimena akakuachisha kaziSasa baada ya kuona wewe na 123 moto moto nikapata makazi mengine...we nawe
Hiyo ya 3. nimeielewa sana aminia shem lake...Kuna mambo yalinipoteza shem lake
1. App ilizingua sana na mpaka sasa bado haijatulia japo nime reinstall upya
2. Ubize wa hapa na pale
3. Harakati za ukuta