Werrason
JF-Expert Member
- Nov 5, 2014
- 13,224
- 39,936
I wish niwe na nafasi na sehemu yenye net ya kumwagaBado 5k tuingie kwenye gombania goli...... 100k yaja

I wish niwe na nafasi na sehemu yenye net ya kumwagaBado 5k tuingie kwenye gombania goli...... 100k yaja

Man,bowHuyu je Yupo??![]()

Pou waaa...Man,bow![]()
, J.tano inaendaje?Bongo this is impossible
Duh! Watu na bahati zao
Name it please, nina moja ina black....I was shockedNaona hii yangu ina ubluu...means iko poa.
Amna, utaki LAHA???Anataka anitoe roho huyu
Huyu jamaa ameuawa na mabepari ili wapige pesa.
Mkongo hili neno LAHA nna walakini nalo...niambie maana yake kwanza ntakujibuAmna, utaki LAHA???


Yangu si ni Colgate tu...afu kuna nyingine ni FluordentName it please, nina moja ina black....I was shocked
........ashatoka yomoni fasta hivyo???Nahisi nakuzimikia zaidi komando kipensi wangu...![]()

KweiZipo colgate zenye green.. Natumia colgate herbal, nyingine blue n red, sijawahi kuona black.. Ila madawa mengi ya kichina huwa ni black..
Mie siku zote kabla ya kununua dawa hicho ndio kigezo cha kwanza.
Kama Chicharito unasubiria offside waya!!!Bamutu ba kongo, uko na speed, ndyo vile unawekaga na rekod ya 94k. Ndyo pighaga na makofi kwa werrrrrraaaasonnn...![]()
![]()
Aibu naona ujueIle tik tak ilikuwa kiboko

Najihisi mtu mwnye bahati..
Unanifanya niishi kwa raha kama mtoto wa mfalme,
We kimwana usie na mwanya kama wa silvia bahame,
Unazid kunichanganya na umbo lako namba nane,
Sauti yako inanivutia zaid ya kinanda cha majani,
Penzi lako sio la wizi kama la mademu wa briz.
Haupendi pesa kama mfuko wa suruali,
Maumivu yakikuzid sana mie ndio wako daktari.
Unanifanya goigoi hawez kubomoa ukota,
Unanifanya kibogoyo hawezi kutafna mfupa,
Unaniacha hoi kama pop star wa coca
Kwako nilidata longtime, leo nafurah uko na mimi, penzi lako ni tamu zaid ya bao la usingizini..![]()
![]()
Penzi ni kikohozi kulificha hauwez, lina nguvu zaid ya umeme na haijengwi kwa cementi..
Apendaye vingi hatoshiba nyongeza..
Jambo moja la msingi naomba ujue nakupenda...
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()

Duh! ni nini tena kimetokea hommie? So kumi kubwa ndo basi tena??Karibu kwenye top tena kama kawaida yetu ya kila siku
Ila leo napenda kutumia fursa hii kuwaambia woote mlokuwa mna sapot segment hii ahsantemi sanaa, na now Szczesny ataondoka JF na kuendelea na maisha mengine, nilipenda ni tufike wote kwenye 100 k but i wish you guys the best sta potea KF tuu ila napotea JF kwa ujumla and nawakubali sana wakuu kwa miez takriban mi 3 au 4,ya kuwa pamoja kama familia ahsanteni sana sanaa.
So nta shusha kumi kali za mwisho then i think tuta agana, then ntaweka rekodi ya kuwa member aliye aga JF(stupid me).
Twende kazi

... Haya maamuz ulimshirikisha na JJ kweli?.... Nweyz kila la kheri kiongoziWeka pichaYangu ni Colgate yenye nembo ya Blue
Kiubishi kuna mtu namdai anazinguaPou waaa..., J.tano inaendaje?
