Makapuku Forum

Makapuku Forum

Nahisi nakuzimikia zaidi komando kipensi wangu...
Najihisi mtu mwnye bahati..

Unanifanya niishi kwa raha kama mtoto wa mfalme,
We kimwana usie na mwanya kama wa silvia bahame,
Unazid kunichanganya na umbo lako namba nane,
Sauti yako inanivutia zaid ya kinanda cha majani,
Penzi lako sio la wizi kama la mademu wa briz.
Haupendi pesa kama mfuko wa suruali,
Maumivu yakikuzid sana mie ndio wako daktari.
Unanifanya goigoi hawez kubomoa ukota,
Unanifanya kibogoyo hawezi kutafna mfupa,
Unaniacha hoi kama pop star wa coca
Kwako nilidata longtime, leo nafurah uko na mimi, penzi lako ni tamu zaid ya bao la usingizini..
Penzi ni kikohozi kulificha hauwez, lina nguvu zaid ya umeme na haijengwi kwa cementi..
Apendaye vingi hatoshiba nyongeza..
Jambo moja la msingi naomba ujue nakupenda...
 
Najihisi mtu mwnye bahati..

Unanifanya niishi kwa raha kama mtoto wa mfalme,
We kimwana usie na mwanya kama wa silvia bahame,
Unazid kunichanganya na umbo lako namba nane,
Sauti yako inanivutia zaid ya kinanda cha majani,
Penzi lako sio la wizi kama la mademu wa briz.
Haupendi pesa kama mfuko wa suruali,
Maumivu yakikuzid sana mie ndio wako daktari.
Unanifanya goigoi hawez kubomoa ukota,
Unanifanya kibogoyo hawezi kutafna mfupa,
Unaniacha hoi kama pop star wa coca
Kwako nilidata longtime, leo nafurah uko na mimi, penzi lako ni tamu zaid ya bao la usingizini..
Penzi ni kikohozi kulificha hauwez, lina nguvu zaid ya umeme na haijengwi kwa cementi..
Apendaye vingi hatoshiba nyongeza..
Jambo moja la msingi naomba ujue nakupenda...
Hapa umenishika haswaaa....,Baby wewe unajua sanaa wewe...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom