Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,100
Mwaka 1933 lolBlomfotein SA
Nlikuepo sku hyo
Mwaka 1933 lolBlomfotein SA
Nlikuepo sku hyo
Huyu mbona kajificha humo ndani penye giza hataki tuone suraaa...


!Mama haya mambo tuta jadili nyumbaniHalafu zile wine vipi jamani hazifiki pamoja na kulipiwa gharama kubwa hivyo???
hahaha...kama mbunge wa ccm
Huyu nae aliweka historia1908 - Lyndon Baines Johnson anazaliwa.
Ni Rais wa 36 wa Marekani.
Alikuwa Rais kufuatia mauaji ya Rais John F. Kennedy huko Texas.
Anabaki kuwa Rais pekee nchini Marekani kula kiapo cha Urais katika Ndege ( Airforce One ).
Hii ilikuwa ni baada ya yeye makamu wa Rais kupewa Urais kutokana na kifo cha JFK.
Hivyo akaapishwa akiwa kwenye ndege kutoka Texas yalipofanyika mauaji na kurudi Washington kuanza majukumu ya Urais.
Mkuu siongezi sipunguziUnaweza ukawa mfuasi.. Mie sijawahi na sintawahi kumuamin mwanasiasa.. Hawa viumbe ni kama vidume tu tukiwa tunataka vyetu kwa warembo, ghiriba zote tutamalza tutacheza kila aina ya mchezo, counter attack, short passes, pasi ndefu.. Tiktaka n.k
Hivi n'djamena na jimena ni ndugu au!!??Napo hapana ubora ila sasa tutafanya nini na ndio kwetu?? Pia tushakuwa brain wash toka wadogo, methali kama mkataa kwao mtumwa, nyumbani ni nyumbani hatuwezi kuzikwepa
Cc sweetiepieHahahaa
Mi nasuburi sana tarehe 1 nione kita tokea nn!!?
Wapi Mel GibsonLeo ni siku ya filamu nchini Urusi.
Kumbuka alikuwa ni mpinzani.Yes lakin iliezekana kwan alikuwa Waziri nadhan
1975 - Haille Selasie anafatiki Dunia.
Alikuwa ni mfalme wa Ethiopia.
Happy Sabbath diktetaSina la ziada, kwa Udhamini mnono wa 90k na kikofia Jonax tukutane kesho.
Sabato njema.
weka pichaEnheee
Nlisoma naye
Nawe unalipenda hilo??Jimena
Bonge la player, angekuwa mzungu nahisi angekuwa mbali, waafrika sijui tuna matatzo gani, tuna vitabia fulani vya kipuuzi halaf tunasingizia tunanyanyaswa.. Hii ngoz hii nayo, mashaka
Bila kumsahau Xabi AlonsoHamman, carragher, gerrard, luis garcia, harry kewel, john riise na + + +.. Hii liver niliipenda mnoo..
Hivi kule mahaba Beach bado kupo??Karibu sana!!
Aaaah1908 - Lyndon Baines Johnson anazaliwa.
Ni Rais wa 36 wa Marekani.
Alikuwa Rais kufuatia mauaji ya Rais John F. Kennedy huko Texas.
Anabaki kuwa Rais pekee nchini Marekani kula kiapo cha Urais katika Ndege ( Airforce One ).
Hii ilikuwa ni baada ya yeye makamu wa Rais kupewa Urais kutokana na kifo cha JFK.
Hivyo akaapishwa akiwa kwenye ndege kutoka Texas yalipofanyika mauaji na kurudi Washington kuanza majukumu ya Urais.
weka picha tuone