Makapuku Forum

Makapuku Forum

1908 - Lyndon Baines Johnson anazaliwa.

Ni Rais wa 36 wa Marekani.

Alikuwa Rais kufuatia mauaji ya Rais John F. Kennedy huko Texas.

Anabaki kuwa Rais pekee nchini Marekani kula kiapo cha Urais katika Ndege ( Airforce One ).

Hii ilikuwa ni baada ya yeye makamu wa Rais kupewa Urais kutokana na kifo cha JFK.

Hivyo akaapishwa akiwa kwenye ndege kutoka Texas yalipofanyika mauaji na kurudi Washington kuanza majukumu ya Urais.
Huyu nae aliweka historia
 
1975 - Haille Selasie anafatiki Dunia.

Alikuwa ni mfalme wa Ethiopia.
1472282276563.jpg
1472282283585.jpg
1472282287628.jpg
1472282291414.jpg
1472282295451.jpg

Haile Jah
.......
 
1908 - Lyndon Baines Johnson anazaliwa.

Ni Rais wa 36 wa Marekani.

Alikuwa Rais kufuatia mauaji ya Rais John F. Kennedy huko Texas.

Anabaki kuwa Rais pekee nchini Marekani kula kiapo cha Urais katika Ndege ( Airforce One ).

Hii ilikuwa ni baada ya yeye makamu wa Rais kupewa Urais kutokana na kifo cha JFK.

Hivyo akaapishwa akiwa kwenye ndege kutoka Texas yalipofanyika mauaji na kurudi Washington kuanza majukumu ya Urais.
Aaaah
LBJ
Nixon alisema huyu ni mmoja ya wana siasa waliokuwa wana iweza siasa kweli kweli

"Me and LBJ we both wanted so bad to be presidents, except i wasnt ready to kill for it" Richard M Nixon
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom