Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,100
Hakuwa mbunifu tatizoKweli mkuu...hadi style ya Nywele aligeza.
Hakuwa mbunifu tatizoKweli mkuu...hadi style ya Nywele aligeza.
Kwa Nkosazana ZumaAfrika ya Kusini
1908 - Lyndon Baines Johnson anazaliwa.
Ni Rais wa 36 wa Marekani.
Alikuwa Rais kufuatia mauaji ya Rais John F. Kennedy huko Texas.
Anabaki kuwa Rais pekee nchini Marekani kula kiapo cha Urais katika Ndege ( Airforce One ).
Hii ilikuwa ni baada ya yeye makamu wa Rais kupewa Urais kutokana na kifo cha JFK.
Hivyo akaapishwa akiwa kwenye ndege kutoka Texas yalipofanyika mauaji na kurudi Washington kuanza majukumu ya Urais.
Wapo wkt wa raha tu(thread ikiwa hot)
Wkt wa shida hawaonekani
Hawatufai kwanza hawana impact
.........

Ndio upinzani wenyewe huoAah
Hata huko huyu hakuwa wa chama kikubwa yet alikuepo kwenye cabinet
Tofauti ni kuwa huyu aliunga sana mkono utawala wa makaburu hapo kablaa
Leo ni mwendo wa filamuLeo ni siku ya filamu nchini Urusi.
Wazee wa fix katika ubora wenuNilikuona japo hukunishtua siku ile
AaahNilikuona japo hukunishtua siku ile
Sio mchezoHaha
Wana elewana kweli wenyewe amini usiamin
Asante sana na Sabato njemaSina la ziada, kwa Udhamini mnono wa 90k na kikofia Jonax tukutane kesho.
Sabato njema.
LBJ kwa kiasi kikubwa atakuwa alihusika kwenye mauaji ya JFK kama anavyohisiwa.Aaaah
LBJ
Nixon alisema huyu ni mmoja ya wana siasa waliokuwa wana iweza siasa kweli kweli
"Me and LBJ we both wanted so bad to be presidents, except i wasnt ready to kill for it" Richard M Nixon
Anha hahahaMcheza mpira ni Tijan Babangida
Hicho ndio kilichomponza.Kweli mkuu...hadi style ya Nywele aligeza.
Leo weekend mziki hakuna?? Au tusubirie old is ever gold
Huko hakuna Lufufu.Aaah
Uwa naenda huku miaka mingne
HahahaHuwezi elewa sababu huwezi kufa kirahisi hivyo Sept 1
