Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,100
Napo hapana ubora ila sasa tutafanya nini na ndio kwetu?? Pia tushakuwa brain wash toka wadogo, methali kama mkataa kwao mtumwa, nyumbani ni nyumbani hatuwezi kuzikwepaBora hapa kwa nyerere..
Napo hapana ubora ila sasa tutafanya nini na ndio kwetu?? Pia tushakuwa brain wash toka wadogo, methali kama mkataa kwao mtumwa, nyumbani ni nyumbani hatuwezi kuzikwepaBora hapa kwa nyerere..
Kanchi UchwaraNdjamena huko
Kanchi hakana hata mvuto
1984 - Sulley Muntari anazaliwa.
Ni mchezaji wa mpira wa miguu toka nchini Ghana.
Uko sahihi katibuLabda kwa Madiba
Ndio nchi inayoongoza kwa mapinduzi ya kijeshi.Mi wanaijeria nawapendea majina yao
Ibrahim Babangida, Olusegun Obasanjo mdomoni yanavutia mnoo
Gari kali sanaaa
Mi piaHahahaa
Mi nasuburi sana tarehe 1 nione kita tokea nn!!?
Lol1984 - David Bentley anazaliwa.
Mwanasoka wa zamani wa klabu za Blackburn, Tottenham na timu ya taifa ya England.
Alitabiriwa makubwa sana, kamamrithi wa David Beckham lakini hakuwahi kufika katika matarajio hayo.
Majeraha yalimfanya astafu soka mapema.
Yes lakin iliezekana kwan alikuwa Waziri nadhan1928 - Mangosuthu Buthelezi anazaliwa.
Ni kiongozi wa upinzani nchini Afrika Kusini.
Aliwahi kukaimu Urais wa Nchi hiyo mara 22 katika Uongozi wa Mandela na Thabo Mbeki.
Yaani alikuwa akiachiwa nchi pindi Rais akienda nje ya Nchi.
Ni sawa na Mbowe aachiwe Nchi na Magu akienda ziara ya nje ya Nchi. Hapa kwetu haiwezekani na haitokaa itokee.
Za USA ndio tamuSiasa za bongo czipendi ad bas
Bibi yangu anayo matatu
Fine, you?Mornin
How u
1984 - David Bentley anazaliwa.
Mwanasoka wa zamani wa klabu za Blackburn, Tottenham na timu ya taifa ya England.
Alitabiriwa makubwa sana, kamamrithi wa David Beckham lakini hakuwahi kufika katika matarajio hayo.
Majeraha yalimfanya astafu soka mapema.
Mi nilikuwepo piaHaaa
Ulikuepo kipind hko!!?
Enheee1973 - Dietmar Hamann anazaliwa.
Ni mwanasoka wa zamani wa klabu ya Liverpool na timu ya taifa ya Ujerumani.
Ndiye shujaa aliyebadilisha mchezo baada ya kuingia akitokea Sub, wakati Liverpool ilipokuwa nyuma kwa goli 3 bila katika fainali ya Uefa 2005 dhidi ya Ac Milan.
Kuingia kwake kulibadilisha mchezo na kufanya Liverpool irudishe magoli yote na kushinda fainali ile.
Hamman, carragher, gerrard, luis garcia, harry kewel, john riise na + + +.. Hii liver niliipenda mnoo..View attachment 388529View attachment 388530View attachment 388531View attachment 388532
Shujaa asiywimbwa
........
Ndugu yetu huyu1984 - Sulley Muntari anazaliwa.
Ni mchezaji wa mpira wa miguu toka nchini Ghana.
Hajafa. Anakula matunda yake ya U-loyalBado yupo hai?? Maana ni miaka 100 sasa
Hahaha
Eeeh
Alichangia kule alaf ile tym ataka aje tuu
Ika zngua
alale salamahahahaaHapa labda chama cha kijani kife kwanza ndio hilo linaweza kutokea