Makapuku Forum

Makapuku Forum

1984 - Sulley Muntari anazaliwa.

Ni mchezaji wa mpira wa miguu toka nchini Ghana.
1472281732880.jpg

Mzee wa kudai posho
.......
 
1928 - Mangosuthu Buthelezi anazaliwa.

Ni kiongozi wa upinzani nchini Afrika Kusini.

Aliwahi kukaimu Urais wa Nchi hiyo mara 22 katika Uongozi wa Mandela na Thabo Mbeki.

Yaani alikuwa akiachiwa nchi pindi Rais akienda nje ya Nchi.

Ni sawa na Mbowe aachiwe Nchi na Magu akienda ziara ya nje ya Nchi. Hapa kwetu haiwezekani na haitokaa itokee.
Yes lakin iliezekana kwan alikuwa Waziri nadhan
 
1973 - Dietmar Hamann anazaliwa.

Ni mwanasoka wa zamani wa klabu ya Liverpool na timu ya taifa ya Ujerumani.

Ndiye shujaa aliyebadilisha mchezo baada ya kuingia akitokea Sub, wakati Liverpool ilipokuwa nyuma kwa goli 3 bila katika fainali ya Uefa 2005 dhidi ya Ac Milan.

Kuingia kwake kulibadilisha mchezo na kufanya Liverpool irudishe magoli yote na kushinda fainali ile.
Enheee
Nlisoma naye
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom