Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,100
Bado yupo hai?? Maana ni miaka 100 sasa1916 - Gordon Bashford anazaliwa.
Ni mmoja wa waasisi wa madari ya Range Rover.
Bado yupo hai?? Maana ni miaka 100 sasa1916 - Gordon Bashford anazaliwa.
Ni mmoja wa waasisi wa madari ya Range Rover.
Siasa za bongo czipendi ad basMi sijuhusishi na Polifix FB wala WhatsApp
Dikteta uchwara mpuuzi
......
Hapa labda chama cha kijani kife kwanza ndio hilo linaweza kutokea1928 - Mangosuthu Buthelezi anazaliwa.
Ni kiongozi wa upinzani nchini Afrika Kusini.
Aliwahi kukaimu Urais wa Nchi hiyo mara 22 katika Uongozi wa Mandela na Thabo Mbeki.
Yaani alikuwa akiachiwa nchi pindi Rais akienda nje ya Nchi.
Ni sawa na Mbowe aachiwe Nchi na Magu akienda ziara ya nje ya Nchi. Hapa kwetu haiwezekani na haitokaa itokee.
HaaaNakumbuka wakati wa uchaguzi siku Tatu jf ilikuwa haipatikani kabisa, na walifanyiwa sabotage ya hatari sana
Mbona umefurahia kamnyweso namna hyo golia![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Kamnywesoooooo ooohohohohooo
Huyo dogo naeeeHahaha
Nna mdogo wangu ana mkubali kwl kwl
HahahaNa last seen huwa hazidanganyi
Halafu unaweza kumuona uchwara kwenye thread 10 lakini akija huku anazuga app ilikuwa inasumbua
![]()
![]()
![]()
![]()
...............
Me more my sweet binamuNakupenda kama jana
Binamu JJ
Tatzo lake huyu alikiwa anataka kuwa Beckham completely, mwishowe yakamshinda.. Alikuwa anageza kila kitu.1984 - David Bentley anazaliwa.
Mwanasoka wa zamani wa klabu za Blackburn, Tottenham na timu ya taifa ya England.
Alitabiriwa makubwa sana, kamamrithi wa David Beckham lakini hakuwahi kufika katika matarajio hayo.
Majeraha yalimfanya astafu soka mapema.
AaahMkuu szczesny, katika hii top ten mbona sijaiona korea kaskazin, nayo inasheria za ajabu mnooo

1928 - Mangosuthu Buthelezi anazaliwa.
Ni kiongozi wa upinzani nchini Afrika Kusini.
Aliwahi kukaimu Urais wa Nchi hiyo mara 22 katika Uongozi wa Mandela na Thabo Mbeki.
Yaani alikuwa akiachiwa nchi pindi Rais akienda nje ya Nchi.
Ni sawa na Mbowe aachiwe Nchi na Magu akienda ziara ya nje ya Nchi. Hapa kwetu haiwezekani na haitokaa itokee.
Huyu anastahili kuitwa shujaa1973 - Dietmar Hamann anazaliwa.
Ni mwanasoka wa zamani wa klabu ya Liverpool na timu ya taifa ya Ujerumani.
Ndiye shujaa aliyebadilisha mchezo baada ya kuingia akitokea Sub, wakati Liverpool ilipokuwa nyuma kwa goli 3 bila katika fainali ya Uefa 2005 dhidi ya Ac Milan.
Kuingia kwake kulibadilisha mchezo na kufanya Liverpool irudishe magoli yote na kushinda fainali ile.
Hiii nawewe ulikuepo!!?Sitasahau lile sakata, hadi nilikaribia kukonda![]()
![]()
![]()

HahahaYe ameweka 10 zilizotisha labda Korea ni ya 12