Szczesny
JF-Expert Member
- Apr 15, 2016
- 7,180
- 25,925
Blomfotein SALeo katika Historia:
1933 - Biblia ya kwanza ya " Afrikaans Bible " yazinduliwa huko Blomfontein katika tamasha la Biblia.
Nlikuepo sku hyo
Blomfotein SALeo katika Historia:
1933 - Biblia ya kwanza ya " Afrikaans Bible " yazinduliwa huko Blomfontein katika tamasha la Biblia.
Halafu zile wine vipi jamani hazifiki pamoja na kulipiwa gharama kubwa hivyo???![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Wanywaji uta wajua tuu
![]()
![]()
Nilikoswa koswa nikarud bongo tuu1971 - Jaribio la mapinduzi ya kijeshi nchini Chad lafeli.
Chad yailaumu Misri kupanga jaribio hilo.
Afrika ya KusiniHuu mji uko nchi gani
Aaah1985 - Serikali ya Nigeria yapinduliwa na Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Nchi hiyo, Jenerali Ibrahim Babangida.
Unaweza ukawa mfuasi.. Mie sijawahi na sintawahi kumuamin mwanasiasa.. Hawa viumbe ni kama vidume tu tukiwa tunataka vyetu kwa warembo, ghiriba zote tutamalza tutacheza kila aina ya mchezo, counter attack, short passes, pasi ndefu.. Tiktaka n.kSiasa za bongo czipendi ad bas
AaKitabu kina version kama 10,000 hivii
1973 - Dietmar Hamann anazaliwa.
Ni mwanasoka wa zamani wa klabu ya Liverpool na timu ya taifa ya Ujerumani.
Ndiye shujaa aliyebadilisha mchezo baada ya kuingia akitokea Sub, wakati Liverpool ilipokuwa nyuma kwa goli 3 bila katika fainali ya Uefa 2005 dhidi ya Ac Milan.
Kuingia kwake kulibadilisha mchezo na kufanya Liverpool irudishe magoli yote na kushinda fainali ile.
Huuu mwaka ulimtsha had nyerer akasema eken vyama mingi tuu1991 - Moldova yajipatia Uhuru wake toka kwa USSR.
Ilikuwa ni muendelezo wa Nchi mbalimbali kujitoa ndani ya Ussr baada ya anguko la Ujamaa.
JimenaMi wanaijeria nawapendea majina yao
Ibrahim Babangida, Olusegun Obasanjo mdomoni yanavutia mnoo
Pole binamuIna mboa kweli
South AfricaHuu mji uko nchi gani
Hvi madari haya ya gypsum alianzisha nan!!?1916 - Gordon Bashford anazaliwa.
Ni mmoja wa waasisi wa madari ya Range Rover.
![]()
![]()
![]()
![]()
Weka picha
Karibu sana!!Karibu mwenyekiti..... Leo nakuja mbweni kula samaki
Litakuwa jambo jema mkuu..Aaah
Taarifa za korea nyingi uwa reasonable ki kwao, ila ntazofuatilia zaid mkuu
![]()
weka picha tuoneKitabu kina version kama 10,000 hivii