Makapuku Forum

Makapuku Forum

1908 - Lyndon Baines Johnson anazaliwa.

Ni Rais wa 36 wa Marekani.

Alikuwa Rais kufuatia mauaji ya Rais John F. Kennedy huko Texas.

Anabaki kuwa Rais pekee nchini Marekani kula kiapo cha Urais katika Ndege ( Airforce One ).

Hii ilikuwa ni baada ya yeye makamu wa Rais kupewa Urais kutokana na kifo cha JFK.

Hivyo akaapishwa akiwa kwenye ndege kutoka Texas yalipofanyika mauaji na kurudi Washington kuanza majukumu ya Urais.
 
1973 - Dietmar Hamann anazaliwa.

Ni mwanasoka wa zamani wa klabu ya Liverpool na timu ya taifa ya Ujerumani.

Ndiye shujaa aliyebadilisha mchezo baada ya kuingia akitokea Sub, wakati Liverpool ilipokuwa nyuma kwa goli 3 bila katika fainali ya Uefa 2005 dhidi ya Ac Milan.

Kuingia kwake kulibadilisha mchezo na kufanya Liverpool irudishe magoli yote na kushinda fainali ile.
1472281493633.jpg
1472281501269.jpg
1472281505418.jpg
1472281510813.jpg

Shujaa asiywimbwa
........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom