FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,776
Anataka tujiite AL SHABAAB
![]()
![]()
![]()
![]()
...........................
Inawezekana kabisa, kwani nyie wote si vijana humu?
Maana ya Al Shabab ni vijana, kama ulikuwa huelewi.
Hata Yanga ukiwatafsiri Kiarabu wanakuwa ni Al Shabab Afriqiya, vijana wa Kiafrika au Young Africans.