Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
Achana nae, ameshaondoka tayari.
Katoka nduki
......................
Achana nae, ameshaondoka tayari.
Nawewe mkuu!! Mwachie mwenzako banaDuh! Mbona hatari.
Kuwa na subira, ye hapendi ajulikane (Simba mwenda pole.....) ila siku akiridhia ntamuweka hadharaniahsante dada lakini hujanitambulisha shemeji ujue
Kwetu ni neno la FAHARINnawapenda makapuku.
Hivi kwanini mnajidhalilisha na kujiita makapuku?
Sidhani kama umefikiria kabla ya kuuliza.Nnawapenda makapuku.
Hivi kwanini mnajidhalilisha na kujiita makapuku?
Kaanza uyoAchana nae, ameshaondoka tayari.
Wakati mtu huyo huyo huko anakoishi ameshindwa kupata hata wa kumsalimia sembuse hao wenye six pak, sasa mi naona heri wangekuwa wanaweka picha zao tuwaone, utasikia awe ameajiriwa lakini sio mwalimu wa shule ya msingi lol......

Sidhani kama umefikiria kabla ya kuuliza.
Nawe mlete shemejiNdomana watu kutwa kupost vikombe vya chai...
Kabla sijasahau hongera sana naona umeamua kumleta wifi
Nadhani itafika 2500 kwa kilo.Kwa maana hiyo reja reja ni 3000 kwa kilo? Kazi ipo
Ndomana watu kutwa kupost vikombe vya chai...
Kabla sijasahau hongera sana naona umeamua kumleta wifi

Hatusemi kutafuta, ila uwe unachungulia uone masharti tu, unaweza kucheka peke yakoBy ze weyi sijawahi kutafuta kupitia huko.
Punguza povu bibi, wewe ni bibi yetu tu usitake kupunguza busara zako kwa kitu kidogo.Eeh kapuku wee, kuna kipi cha kufikiria? Jibu swali usiwe kapuku na punguani pia.
Chezea peterchoka wewe.....
Kwetu ni neno la FAHARI
.................
PwentiPunguza povu bibi, wewe ni bibi yetu tu usitake kupunguza busara zako kwa kitu kidogo.

Ntajaribu walau mara moja moja.Hatusemi kutafuta, ila uwe unachungulia uone masharti tu, unaweza kucheka peke yako
ThanksSasa sielewi hiyo inayowasibu ni inferiority au superiority complex.
Anyway, hongereni kwa ufahari wa kuwa makapuku.
Unaweza kutusaidia jina jingine? Samahani lakiniSasa sielewi hiyo inayowasibu ni inferiority au superiority complex.
Anyway, hongereni kwa ufahari wa kuwa makapuku.