Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,636
Pohamba= Pojambanadhani mko interested zaid na hiyo 'punye'
.........
Pohamba= Pojambanadhani mko interested zaid na hiyo 'punye'
Tunalisongesha tuNko mubaba, mishe ni gani?
"Nmekuja kufizia post ya 86k, hivyo uimwambie mtu"
Sijui kama utaipata"Nmekuja kufizia post ya 86k, hivyo uimwambie mtu"View attachment 383708
Kwani nmekuambia wewe?Sijui kama utaipata
Werrason anainyatia

Thanks dictatorKweli mwezi August ni mwezi wa kuzaliwa kwa viongozi.
Kwa udhamini mnono wa #TeamWekaPicha tukutane tena kesho.
byee
Nmekuambia wewe tu, sasa ole wako niikose...!Wote wamesikia lakini![]()

Jonax sikujua hilo wangu, wala hata sina urafiki nae! mi nimeona amesalimia nikajua labda nae ni memba wa huku ila alikuwa hachat tu...ndio nikamjibu, kumbe alizingua?? yaah naona ana birthday sijui wanampromote...labda anataka atoe mualiko huwezi juaYule sijul Valentina alizingua makapuku halafu km unavyojua ni kingongo mashauzi na wao wana thread yao special so huku HATUMTAKI lakini hachoki kujipendekeza hata tumkaushie vipi.....so km una urafiki nae sio mbaya Ni ISHU YENU PRIVATE ......Makapuku hatumtaki km ni kuchat nae mfuate hata kule kwenye kauzi kake ka birthday na lile zee lake lkn huku ukumbi wetu Makapuku no shobo kwa vingongo mashauzi
Peace & Love
......................

Huyo dogo vipi ndio amewekwa unga kichwani kwa ajili ya unyago au?
Hoyeeebarcelona hoyee
Umemkariri Jonax tu....kweli kikofia kina jujuJonax sikujua hilo wangu, wala hata sina urafiki nae! mi nimeona amesalimia nikajua labda nae ni memba wa huku ila alikuwa hachat tu...ndio nikamjibu, kumbe alizingua?? yaah naona ana birthday sijui wanampromote...labda anataka atoe mualiko huwezi jua![]()
![]()
Hatuwataki vingongo.Yule sijul Valentina alizingua makapuku halafu km unavyojua ni kingongo mashauzi na wao wana thread yao special so huku HATUMTAKI lakini hachoki kujipendekeza hata tumkaushie vipi.....so km una urafiki nae sio mbaya Ni ISHU YENU PRIVATE ......Makapuku hatumtaki km ni kuchat nae mfuate hata kule kwenye kauzi kake ka birthday na lile zee lake lkn huku ukumbi wetu Makapuku no shobo kwa vingongo mashauzi
Peace & Love
......................

Hahahaha!!!! sikuangalia nkajua Jonax...haya sawa Bitoz nimekusomaUmemkariri Jonax tu....kweli kikofia kina juju
Take it easy.....tupotezee tusimpe promo
Tufanye mengine
.............................
Mimi ni mchawi, sasa ole wako utangazieHuyo dogo vipi ndio amewekwa unga kichwani kwa ajili ya unyago au?

Simo nasema simo
Hayo maneno kakwambia Bitoz na siyo mimi.Jonax sikujua hilo wangu, wala hata sina urafiki nae! mi nimeona amesalimia nikajua labda nae ni memba wa huku ila alikuwa hachat tu...ndio nikamjibu, kumbe alizingua?? yaah naona ana birthday sijui wanampromote...labda anataka atoe mualiko huwezi jua![]()
![]()

Umeshiba uji wwHayo maneno kakwambia Bitoz na siyo mimi.
Mbona unataka unifananishe na Bitoz uchwara aisee?View attachment 383719sifanani naye hommie
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Hapa kuna kitu roho wa bwana anataka kusema namiUmemkariri Jonax tu....kweli kikofia kina juju
Take it easy.....tupotezee tusimpe promo
Tufanye mengine
.............................
