Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kumbuka mume mwema hutoka kwa bwana.
Hivyo bwana ameshajibu maombi yako tayari.
Hivyo haina budi kukubali coz nmeshakuwa mteule tayari.
Mtoto wa mjini afu unakojoa hadharani hivyo!!?...mhhhh![emoji23] [emoji23] , ngoja nikamuelezee kaka angu kwanza akikubali tutayajenga[emoji56][emoji56][emoji56][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Mtoto wa mjini afu unakojoa hadharani hivyo!!?...mhhhh![emoji23] [emoji23] , ngoja nikamuelezee kaka angu kwanza akikubali tutayajenga[emoji56][emoji56][emoji56][emoji38][emoji38][emoji38]
Hizi ni swagger tu.

Hivi unakumbuka yale mabus ya city boy yaliyopata ajali Manyoni Singida mwezi uliopita hapo?

Sasa yale mabus ni yangu na Kampuni ya CITY BOY kwa ujumla ni yangu.

Sasa wewe chezea bahati uone utakavyoijutia
 
Mtoto wa mjini afu unakojoa hadharani hivyo!!?...mhhhh![emoji23] [emoji23] , ngoja nikamuelezee kaka angu kwanza akikubali tutayajenga[emoji56][emoji56][emoji56][emoji38][emoji38][emoji38]
Hizi ni swagger tu.

Hivi unakumbuka yale mabus ya city boy yaliyopata ajali Manyoni Singida mwezi uliopita hapo?

Sasa yale mabus ni yangu na Kampuni ya CITY BOY kwa ujumla ni yangu.

Sasa wewe chezea bahati uone utakavyoijutia
 
Hizi ni swagger tu.

Hivi unakumbuka yale mabus ya city boy yaliyopata ajali Manyoni Singida mwezi uliopita hapo?

Sasa yale mabus ni yangu na Kampuni ya CITY BOY kwa ujumla ni yangu.

Sasa wewe chezea bahati uone utakavyoijutia
Hii hongera...utakuwa tajiri sana wewe [emoji16] tayari umeleta mengine? [emoji33]
 
Hii hongera...utakuwa tajiri sana wewe [emoji16] tayari umeleta mengine? [emoji33]
Niko vizuri sana kimkwanja, siunaona jinsi nilivyo na kitambi cha kuvalia tai hapo
1471509145648.jpg
[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4]
 
Back
Top Bottom