Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,234
- 68,269
Leo katika Historia:
1962 - Felipe Calderon anazaliwa.
Alikuwa ni Rais wa 56 wa Mexico.
1962 - Felipe Calderon anazaliwa.
Alikuwa ni Rais wa 56 wa Mexico.
Asante kwa kumi kubwaDuuu
Jaman kumi kubwa zsha isha thanks
Szczesny Carrenza hapa
R.I.P muheshimiwa Kolimba.FIX ZA BITOZ:
Kifo cha aliyewahi kuwa Karibu Mkuu wa Chama Cha Mazoba (CCM) Marehemu Horace Kolimba ni miongoni vya vifo tata zaidi Bongoland...
Hatari Horace Kolimba siku chache kabla ya maahibu alitamka kwamba Chama Cha Majipu kimepoteza mwelekeo...kauli ambayo haikuwapendeza wakubwa wake
Aliitwa kule kwenye Ukumbi maarufu wa Mshamba uitwao Chimwaga kuhojiwa starehe 13/3/1997 ambapo inadaiwa alisekewa sumu kwenye MIC...wakati wa kujieleza ghafla anaanza kujisikia vibaya zen kutema kabisa uhai.....kweli Polifix is dangerous hadi leo ukweli umefichwa zimebaki fix tu
R.I.P Horace KolimbaView attachment 383438View attachment 383439
*********************************
Absolutelly!!....illuminate
Leo katika Historia:
1989 - Luis Carlos Galan anauwawa.
Alikuwa ni mgombea Urais mwenye nguvu katika Uchaguzi Mkuu wa Colombia.
Moja kati ya ahadi yake katika kampeni, ilikuwa ni kupambana na mfabyabiashara mashuhuri wa madawa ya kulevya, Pablo Escobar.
Hivyo inaaminika aliuwawa na Pablo Escobar kabla ya Uchaguzi ili asiingie madarakani.
Mh huyo daktari nae...sio walimpangaRipot ya madaktari ilisema ni moyo ndo ulimuua
Alikufa kishujaa sana huyu mzee, Mandela ndio akachukua ujiko woteLeo katika Historia:
1977 - Steve Biko anakamatwa na Polisi huko Afrika Kusini.
Anateswa na baadae kupoteza maisha.
Aliweka vizuri sana uchumi wa NamibiaLeo katika Historia:
1935 - Hifikepunye Pohamba anazaliwa.
Ni Rais wa pili wa Namibia.
Leo katika Historia:
2008 - Rais Pervez Musharaf wa Pakistan, analazimishwa kujiuzulu wadhifa wa Urais wa nchi hiyo.
Licha ya kuwa Rais, pia alikuwa ni Jenerali katika Jeshi la Nchi hiyo.
Leo katika Historia:
1933 - Just Fontaine anazaliwa.
Ni straika wa zamani wa Timu ya Taifa ya Ufaransa.
Anashikilia rekodi ya kufunga magoli 13 katika michezo 6 aliyocheza ya kombe la Dunia, katika michuano iliyofanyika pale Sweden mwaka 1958.
Alishiriki kombe la Dunia mara moja na Kufunga goli 13. Ni rekodi ya pekee.
Naona hadi watoto nao wameanza mchezo mbaya wa kukataa mikono
