Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hahahaha!!!! sikuangalia nkajua Jonax...haya sawa Bitoz nimekusoma
Kuna jambo roho wa bwana ananishuhudia..
Embu fanya mafekeche ujilete kwangu kabisa.. maana kweli inaonekana unaniwaza sana moyoni
1471507483776.jpg
 
Kwenda huko vingongo kwanza wana kaforum nao ka kujibia mapigo wanatutajataja lkn tumewakaushia halafu bado wanatufuata huku kinafiki.....samtaimu watu wanatafuta kick kwa nguvu (wanataka tu kuzungumziwa)
Potezea tutampa kick zisizo na maana yule boya ht kauzi kake wamenitag nimekaushia tu
..............
Ni kwel tuwapotezee kabisa, tuangalie ya kwetu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom