Makapuku Forum

Makapuku Forum

Leo katika Historia:

1962 - Felipe Calderon anazaliwa.

Alikuwa ni Rais wa 56 wa Mexico.
1471504847023.jpg
1471504853143.jpg
1471504857876.jpg
 
Leo katika Historia:

1980 - Esteban Cambiasso anazaliwa.

Ni kiungo mkabaji wa zamani wa Real Madrid, Inter Milan, Leicester City na timu ya taifa ya Argentina.

Anajulikana zaidi kwa staili yake ya Kipara.

Katika Kombe la Dunia mwaka 2006, Cambiasso alifunga goli dhidi ya Serbia, goli hilo lilitokana na idadi ya pasi 23 bila kuguswa na mchezaji wa Serbia.
1471505203571.jpg
1471505225147.jpg
1471505231615.jpg
1471505236539.jpg
Great goal
........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom