Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,100
Sikuwa najua kuwa watu wanazamia hadi ChinaNumber 3, Guangzhou (Canton), China(24.200.000)View attachment 378104 likiwa ba watu milioni 24 jiji hili lili anzishwa miaka takriban 2,200 iliyo pita na ni mji wenye masoko, viwanda na starehe za kila namna pia ni jiji la tatu kwa ukubwa huko China na limekuwa kwa kasi kwa kuwa ni sehem pekee china ambayo wafanya bishara wa kigeni hushauriwa kuwekeza pia haina mikazo sana kwa wahamiaji haramu ambao wengia miaka ya 2000- 2014 wali mwagika kwa kasi zaid
Fly overs nimezielewa vizuri