Kitombise
JF-Expert Member
- Sep 24, 2013
- 8,652
- 25,849
Hapana, huyu nitalea mwenyeweMmmh mpeleke kituo cha kulelea watoto,
Hapana, huyu nitalea mwenyeweMmmh mpeleke kituo cha kulelea watoto,
Umeya tu umewafanya mnahamaTunahamia Dom bhana.
Tunafuatilia kwa makini sanaHahaha
Samahan nimeleta ki makosa picha ya New York nli iruka
Uwiiii
Asante kwa kuona hilo
HaaaaHapa kufika ni lazima
Zile tamthilia ziliniharibu sana
Halafu kubaya tuEeeh
Sanaaa lakin kuna shda nyingi pua manila kwa kweli
Hahahaha
Asante.Kila la heri
Wanafanya vizuriLakini usizamie na mihadarati!
mana Utanyongwa faster
Wengi sanaSikuwa najua kuwa watu wanazamia hadi China
Fly overs nimezielewa vizuri
Kwa Kina TupacHahahaha
Sehem gan
LA
San diego
Au san fransico!!?
OkayYa mumbai
Bara la Asia liko vizuri, miji yake mingi imeng'ara.Number 1, Tokyo, Japan (34.000.000)View attachment 378112 watu milioni 34, yaan hapa ndo watu ni shida jiji hili lina mamlaka za kanda maalum 23, mamlaka za manispaa 26, mamlaka za miji 8 na serikali za vijiji 5,
Na hao ndo wababe wetu wa kujaza watu kwenye majiji
Number 1, Tokyo, Japan (34.000.000)View attachment 378112 watu milioni 34, yaan hapa ndo watu ni shida jiji hili lina mamlaka za kanda maalum 23, mamlaka za manispaa 26, mamlaka za miji 8 na serikali za vijiji 5,
Na hao ndo wababe wetu wa kujaza watu kwenye majiji
HahahaWanatumia 6G au?? Maana karibu dunia yote iko 5G
Lakini Korea hakunivutii kabisa sijui kwanini
Kweli kabisa, hii haima kipingamizi kiwa ni wachafu tuHahahaha
Mkuu wahindi mbona wengi wazuri
Sema ni wachafu tuu
Ila watu wanakomaaIts bado watu wana ish kwa matabaka sanaa huko
Kuna majanga kila mwaka huko haahahaJapan imetisha vibaya, ni moja kati ya nchi ambazo ziko kwenye ratiba yangu
Mi nilkaa San Fransisco karibia na Golden gateHahahaha
Sehem gan
LA
San diego
Au san fransico!!?