Makapuku Forum

Makapuku Forum

Super.. Umeongea kiufundi

Michael ballack fundi mmoja wa kijeruman, aliwahi kusema msos anaoupenda zaid ni mchanganyiko wa chipsi,njegere sjui na mazagazaga gani, kitu pekee ninachokupunga aliorodhesha chips kwenye mchanganyiko wake, alinivuruga maana najua chipsi si kitu kizur
Sio kitu kibaya, bongo tu ndo kuna mijadala kama hii
 
Dick Cheney nae alikuwa moto wa kuotea mbali.

Halafu hapo umemsahau Donald Rumsfeld, Waziri wa Ulinzi nae alikuwa ana roho mbaya.

Bush alikuwa na timu ya makatili, ila Bush Mkubwa alikiwa katili yeye kama yeye!!

Vita vya Ghuba ni moja ya sababu iliyomfanya awe Rais wa kipindi kimoja, kwani aliyofaitiana na wengi.
Na hao wotee
Daddy Bush ndo alimpa kid Bush
Sasa hapo ndo nmekusoma Daddy Bush alikuwa hatar zaid
 
Dick Cheney nae alikuwa moto wa kuotea mbali.

Halafu hapo umemsahau Donald Rumsfeld, Waziri wa Ulinzi nae alikuwa ana roho mbaya.

Bush alikuwa na timu ya makatili, ila Bush Mkubwa alikiwa katili yeye kama yeye!!

Vita vya Ghuba ni moja ya sababu iliyomfanya awe Rais wa kipindi kimoja, kwani aliyofaitiana na wengi.
Mi likija swala la Bush namkubali Bush mtoto
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom